Hapa Lazima Ucheke Tu.

Hapa Lazima Ucheke Tu.

SAYANSIKIMU

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2014
Posts
1,132
Reaction score
260
Kulikuwa na mshikaji mmoja ambaye alikuwa tajiri sana na pia alikuwa mfalme basi akaandaa shindano.Akawaambia Washindanaji mmeona hili bwawa lina mamba mengi basi yoyote atakaye tumbukia humu na kuogolea na kutoka upande wa pili akiwa hai nampa chochote anachotaka hata ufalme wangu wote na hili agano nimesha saini tayari kabla hajamaliza kusema kuna njemba moja ilikuwa imeshazama kwa ujasiri wa ajabu akafanikiwa kuogolea na kuvuka upande wa pili wa kisima akiwa hai mfalme alishangaa sana ujasiri wa huyu kijana.Mfalme akamwambia kijana unataka nini sasa nikupatie .Jamaa akajibu mimi sitaki fedha ,wala ufalme wala mali yoyote bali nataka yule aliyenisukumiza kwenye hichi kisima namimi nimrudishie kwa kumtumbukiza humu. NB. KUMBE HII NJEMBA HAIKUTUMBUKIA YENYEWE BALI ILISUKUMIZWA TU.
 
Hahahaaaaa! duh! nimeongeza siku kwa kucheka
 
Kulikuwa na mshikaji mmoja ambaye alikuwa tajiri sana na pia alikuwa mfalme basi akaandaa shindano.Akawaambia Washindanaji mmeona hili bwawa lina mamba mengi basi yoyote atakaye tumbukia humu na kuogolea na kutoka upande wa pili akiwa hai nampa chochote anachotaka hata ufalme wangu wote na hili agano nimesha saini tayari kabla hajamaliza kusema kuna njemba moja ilikuwa imeshazama kwa ujasiri wa ajabu akafanikiwa kuogolea na kuvuka upande wa pili wa kisima akiwa hai mfalme alishangaa sana ujasiri wa huyu kijana.Mfalme akamwambia kijana unataka nini sasa nikupatie .Jamaa akajibu mimi sitaki fedha ,wala ufalme wala mali yoyote bali nataka yule aliyenisukumiza kwenye hichi kisima namimi nimrudishie kwa kumtumbukiza humu. NB. KUMBE HII NJEMBA HAIKUTUMBUKIA YENYEWE BALI ILISUKUMIZWA TU.

mai wani nafwa na jinseko. umetisha mkuu. salute kwako
 
Kulikuwa na mshikaji mmoja ambaye alikuwa tajiri sana na pia alikuwa mfalme basi akaandaa shindano.Akawaambia Washindanaji mmeona hili bwawa lina mamba mengi basi yoyote atakaye tumbukia humu na kuogolea na kutoka upande wa pili akiwa hai nampa chochote anachotaka hata ufalme wangu wote na hili agano nimesha saini tayari kabla hajamaliza kusema kuna njemba moja ilikuwa imeshazama kwa ujasiri wa ajabu akafanikiwa kuogolea na kuvuka upande wa pili wa kisima akiwa hai mfalme alishangaa sana ujasiri wa huyu kijana.Mfalme akamwambia kijana unataka nini sasa nikupatie .Jamaa akajibu mimi sitaki fedha ,wala ufalme wala mali yoyote bali nataka yule aliyenisukumiza kwenye hichi kisima namimi nimrudishie kwa kumtumbukiza humu. NB. KUMBE HII NJEMBA HAIKUTUMBUKIA YENYEWE BALI ILISUKUMIZWA TU.

The good thing about JF, you have made my day. hahahahahhaha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom