Hapa kwa 99% Magufuli amechemka

Hapa kwa 99% Magufuli amechemka

ae7340a2b33d4dfcf6306e039814da29.jpg
 
Si kila kitu lazima mtu mzima aonekane kapatia,kama watu wakimsa sana mwanao kisa mahaba ukajifanya husikii ,sitashangaa siku akilia hadharani.
Nasubiri.
 
Adhabu ya midomo ya watu ni kali kuliko hata adhabu ya kumwadabisha mkolomije, Hata akitetewa na malaika watu watamwangusha tu mkolomije no way out mwisho umefika
 
Wakuu:
Si kweli Mkuu wa kaya hashauriki.
Aliwahi kuelezwa jambo na RC wetu mbele ya mkutano wa hadhara, papo hapo akauliza mbele ya uma je nimfanyaje nimtumbue uma ukasema ndioo hapo hapo akamtumbua kiongozi fulani.
 
Back
Top Bottom