TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
- Thread starter
- #21
solution sio kujenga orphanage mkuu, ni kuboresha maisha ya watanzania
Yanaboreshwaje???Collectively au hatua kwa hatua?
solution sio kujenga orphanage mkuu, ni kuboresha maisha ya watanzania
Nilikwenda kwenye site ya Kikwete ya Facebook. Amini usiamini ameweka picha akihutubia UN. It speaks a lot about the his presidency!...bora wanaotumia picha ya shujaa wetu mwalimu nyerere na bendera yetu ku symbolise utaifa kuliko Kikwete anatumia picha ya mabwana zake wamarekani ie Bush KWENYE mabango huko barabarani.....wanatushangaa sana!!.....nasikia huko BUKOBA katumia picha ya askofu malasusa ikashushwa na NEC TEHH TEH!
Siasa za MTARO WA MAJI MACHAFUHivi Nyerere alikwapua wake za watu???Nikumbushe.:becky:
Nilikwenda kwenye site ya Kikwete ya Facebook. Amini usiamini ameweka picha akihutubia UN. It speaks a lot about the his presidency!
Siasa za MTARO WA MAJI MACHAFU
Kama unadhani mke kakwapuliwa mbona hajakamatwa mpaka leo?
Hivi nn maana ya .abango ya picha za kikwete? Maana yake watu hawamjui?
Watoto ndio hudanganyiwa PEREMENDENauliza tu braza.
Hivi,mpaka mtu ajinadi kwa bendera ya taifa na picha ya Nyerere ndo aaminike??????Doh!Inamaanisha mtu haamini ndani ya nafsi yake kwamba anaweza kusimama peke yake na watu wakamuelewa????Doubts!!!Anguko hilo,kwa watu wanaofikiri vizuri.:violin:
solution sio kujenga orphanage mkuu, ni kuboresha maisha ya watanzania
Siasa za MTARO WA MAJI MACHAFU
Kama unadhani mke kakwapuliwa mbona hajakamatwa mpaka leo?
Tandaleone nahisi unamtindio wa ubongo!!Ni wa kuigwa sana ila si kwa kujinadi kwa picha zake wakati mafao yake ya bungeni ulitumia kumnunulia kimada gari badala ya kujenga hata orphanage moja.Doh!!:becky:
Jitahidi mzee na ajira ya mafisadi. SIDANGANYIKI
JF bana kuna mengi ya kujifunza. Kama na aina ya mavazi nayo ni kigezo/sera, basi kazi ipo. Great thinker indeed!hivi yale mavazi ya chadema vipi..?
Hivi Nyerere alikwapua wake za watu???Nikumbushe.:becky:
Hivi,mpaka mtu ajinadi kwa bendera ya taifa na picha ya Nyerere ndo aaminike??????Doh!Inamaanisha mtu haamini ndani ya nafsi yake kwamba anaweza kusimama peke yake na watu wakamuelewa????Doubts!!!Anguko hilo,kwa watu wanaofikiri vizuri.:violin: