umeshamgea kipapa...?
BUT still miezi mitatu ni mapema mno kumlazimisha mtu alete posa au a behave like husband to be..
mwache akusome kwanza
au tafuta mwenye 'deperation ya ndoa' kama wewe
mpe mtihani mmoja tu
no sex untill ujue anaishi wapi
hapo utapata jibu
jiongeze, kama unataka ndo kimbia ila kama unataka good tyme kula bata mtoto.
kwani kinahusika na commitment?
we wote ukliowahi kuwagaia illikuwa ni commitment?
hujawahi kugawa for pleasure?
mnh hata kama ni mapema,huyo ni player anakaba pande zote ili usipate ushahidi kuwa ni player/part time....achana naye huu muda unaopoteza na huyo mpuuzi ujue unajizibia chances zako za kumpata mtu/mr right......
Tatizo nimekufa nimeoza, halafu ndio mwanaume pekee aliyekubali tukapime Afya. Wengine nilikuwa nawaacha maana hawakutaka kupima VVU.Hivyo nilimuona anajali.
hapa najaribu kuunganisha....kama keshatoa kipapa....na pozi ndo hizo.....mbona ni alama rahisi sana kuzielewa.....
aisee kumbe kupima afya siku hizi dili sana?
nitaanza na mimi hii style lol
Kwa kweli The Boss ni muhimu sana maana wanaume wengi hawataki hii kitu kabisa ya kupima, wanaogopa
Tatizo nimekufa nimeoza, halafu ndio mwanaume pekee aliyekubali tukapime Afya. Wengine nilikuwa nawaacha maana hawakutaka kupima VVU.Hivyo nilimuona anajali.
kuwa makini saana
mtu kama kicheche hata kupima sio ishu
usisahau virus vina mda wa kutoonekana
unaweza pima na usione hadi miezi ipite
he he he, pole.
Una miaka mingapi?
Maplayer wengi wanakubali kupima ili wafaidi zigo na uwaamini zaidi.
Strategy, strategy strategy.
wewe hujajibu swali
umeshawahi for pleasure?
kama bado niku pm
upate experience ya 'sex ya bila kudanganywa kuna commitment'...lol
na pia hujaelewa jibu....suluhisho hapa sio mimi kutoa au kutokutoa uroda.....ni hivi.... amazon dia....kuna wanaume wanyenyekevu sana kabla hajakumega.....hiyo kupima sio ishu.....shida yake akishakupata ndo ntolee......stuka....