Maguge Maguge JF-Expert Member Sep 1, 2016 2,734 1,774 Mar 8, 2017 #2 Veta na sido zimechoka ... (ila tutajenga viwanda)
Nyagei JF-Expert Member Jul 7, 2015 13,202 44,598 Mar 8, 2017 #6 Wa kusoma said: Click to expand... Kamaanisha wamelala
MUSSA ALLAN JF-Expert Member Oct 13, 2013 18,925 13,259 Mar 8, 2017 #7 Wale wa viwanda wamezeeka sasa ni Vi-wonder.
MeinKempf JF-Expert Member Jun 11, 2013 11,094 7,218 Mar 8, 2017 #8 Wa kusoma said: Click to expand... Kamaanisha kuwa hao jamaa wawili SIDO na VETA washajizeekea kimwili mpaka kifikra kasi kwamba hawana Habari ya kinachoendela kwa sasa (TZ ya viwanda).
Wa kusoma said: Click to expand... Kamaanisha kuwa hao jamaa wawili SIDO na VETA washajizeekea kimwili mpaka kifikra kasi kwamba hawana Habari ya kinachoendela kwa sasa (TZ ya viwanda).
Mnondwe JF-Expert Member Apr 10, 2015 4,013 3,672 Mar 8, 2017 #9 Wamezeeka,hawawezi kuzaa wala kuzalisha,bado KUFA TU.
leodigardcyrilo JF-Expert Member May 17, 2015 3,295 1,687 Mar 8, 2017 #10 Yameshuka na hakuna mkakat wa kuinua
Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 51,988 69,380 Mar 8, 2017 #11 Wa kusoma said: Click to expand... Kwamba hawa wazee hawashirikishwi vilivyo kwenye Tanzania ya viwanda??
Wa kusoma said: Click to expand... Kwamba hawa wazee hawashirikishwi vilivyo kwenye Tanzania ya viwanda??
weed JF-Expert Member Sep 26, 2012 2,427 3,467 Mar 9, 2017 #12 Kwamba hao wazee wakalale kitandani..hapo katika benchi wanaweza wakajamba