Hapa Kazi Tu

Hivi kigogo aliendaga kunya pale kaburini kama alivyosema lazma akajisaidie hapo?
 
Atakumbukwa kwa maendeleo aliyoyaleta kwa kipindi kifupi akiwa madarakani
 
Kurudisha nidhamu katika utumishi wa umma

Kupinga ufisadi

Vita madawa ya kulevya

Umeme ulikuwa stable

Kurudisha heshima na hadhi ya Tanzania

N.k n.k n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…