Watamwachia tuu.... Huyu dogo ni legend... ila tutamkalisha tu hataaminiNgoja nifuatilie kama hawa Policcm wamemwachia

Bibi yake ndo anampa jeuri.... Nackia ni fundi hatareeeDawa yake akirudia tu ni kumfanya hakuna

ilikua ni mitaa gan hiyo alipoibaNikumpa kipigo akaseme kwa bibi yake
Nshapajua.... Huku mtaa tushamwekea mtego... Akiiba tena tunakata vidole....Two way mitaa ya Kwa kimati upande wa kushoto kabla hujafika wanapouza mbao kuna barabara imepinda kushoto ndo kwenye ile kona kuna dada ana mpesa duka

ita wazima motoDawa ya moto ni moto
Kumbe anafahamika kabisaHuyu chalii anazingua sana hapa mtaani.... Juz kaiba flat na redio kwa jiran hapa kona ya meku.... ipo siku yake
Siku akisogea pande za jangwani kwa maza uniambie.... ntatuma machalii toka chugaTwo way mitaa ya Kwa kimati upande wa kushoto kabla hujafika wanapouza mbao kuna barabara imepinda kushoto ndo kwenye ile kona kuna dada ana mpesa duka
Dogo wa majengo.... Ngada zilishampoteza kwenye game.Kumbe anafahamika kabisa
Teh Teh... Ukute yeye hata hakuckia maumiv....Nilimchapa teke la usoni hadi leo mguu unamaumivu sasa cjui yeye