Hapa kazi tu

Hapa kazi tu

McCain

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2016
Posts
1,168
Reaction score
517
d2c2d9785a8345c746719d3d0b194d9a.jpg
35001d9b363b68ef9f2ea8793c4e5a86.jpg
4f69dbea740c7e666b21661883e4c095.jpg
c1eb81b748d98be4816b8fab7a5c8ab3.jpg
863bcc2aa2c182beccff8bd10d5b92ed.jpg
jamaa aliona Mambo magumu kaamua kujiongeza simu ya watu kilichomkuta ni siri yake atawapa taarifa na wenzake
 
Du kweli njaa kali kaamua kuchukua simu ya watu angalau ajipooze ........................but ametiwa nguvuni haraka iwezekanavyo......!!!!!!!!!!!!!
 
Du kweli njaa kali kaamua kuchukua simu ya watu angalau ajipooze ........................but ametiwa nguvuni haraka iwezekanavyo......!!!!!!!!!!!!!
Tumemdunda
 
Dyu!! "Uchawi" hakuna siku hizi huko eeeh!!!!?
 
Vitendo vya wizi havivumiliki ndio maana akapigwa..natumai siku nyingine atajifunza
 
Ningekuwepo na mm ningempiga japo busu mm siwapend wez yn nawachukia
 
Huyu chalii anazingua sana hapa mtaani.... Juz kaiba flat na redio kwa jiran hapa kona ya meku.... ipo siku yake
 
Back
Top Bottom