Hapa kazi tu

Aventus

JF-Expert Member
Mar 8, 2013
1,914
1,977
Huku kwetu.., sisi tunaendelea kusherekea kwa kutumbuliwa kwa Mramba, kesho sijui zamu ya nani.., lakini hatupigi kelele kamwe ya kutaka ahadi tarajali kutekelezwa zenye kutugusa sisi huko kwetu.., tangu 2015, November 05 ni kutumbua, kutengua, kuteua, kutumbua, kutengua, kuteua.., na sisi huko kijijini kwetu tunapiga kelele za kushangilia na vigelegele vikichombezwa na neno maridhawa, Hapa Kazi Tu!
 
Hapa kazi tu ina maana gani Ikiwa hata hizo ajira kaziweka uvunguni? Unafiki tu

Eti wanasemaga fanyeni kazi acheni kulalamika .kazi gani nawakati hata ajira hakuna Kama vipi wagawe kazi waone Kama watu hawatafanya. Matokeo yake Hapa kazi tu. Tunazidi kula Za roba mtaani na matukio ya ujambazi. Na wahalifu hao wimbo wao ndiyo huohuo Hapa kazi tu•
 
Eti wanasemaga fanyeni kazi acheni kulalamika .kazi gani nawakati hata ajira hakuna Kama vipi wagawe kazi waone Kama watu hawatafanya. Matokeo yake Hapa kazi tu. Tunazidi kula Za roba mtaani na matukio ya ujambazi. Na wahalifu hao wimbo wao ndiyo huohuo Hapa kazi tu•
Umenifurahisha sana mkuu. Wanasiasa wetu ni waongo sana na wanafiki. HAPA KAZI TU na hawataki kutoa kazi. Hakuna serikali inayoajiri watu wote na hakuna serikali ambayo haiajiri watu wake
 
Back
Top Bottom