Hapa KAZI TU na Tumbua majipu ya Rais Magufuli yawatumbua UKAWA

Mr Emmy

JF-Expert Member
Mar 12, 2012
1,219
550
Kasi ya hapa kazi na tumbua majipu ya ufisadi inayofanywa na Rais Magufuli imewaathiri wabunge wa ukawa kwani wamenywea kama vile na wao ni wahanga wa majipu. Furaha ya wabunge wa ukawa imepungua kwani wamekosa hoja za kukabuliana na Serikali ya Magufuli kwani kwasasa Serikali inafanya kazi kwa spidi ya kasi na ufanisi wa hali ya juu.

Wabunge wa Ukawa wanarudi majimboni na wengine wakipotelea jijini Dar kimyakimya kwani hakuna wanachokifanya bungeni na kuonekana ni wababaishaji mbele ya jamii. Hivi sasa wabunge wa ukawa hasa wa chadema wanajificha na kuogopa hata kufanya ziara za kutembelea wananchi kwani kila kitu Mbele ya Rais Magufuli kinafanyiwa kazi,

Wapi kelele za kubenea, Mnyika, Msingwa and etal. wote hoi.

kwa ushauri tu mkitaka legacy yenu iwejuu muungeni mkono na Rais katika kufanya kazi (HAPA KAZI TU) na kutumbua MAJIPU ili mheshimike mbele ya Watanzania ili mkiendelea na ngonjera na maigizo yenu bungeni mtazomewa mtaani
 
Amefanya nini toka aingie Madarakani zaidi ya Maigizo tu.
 
H
Kasi ya hapa kazi na tumbua majipu ya ufisadi inayofanywa na Rais Magufuli imewaathiri wabunge wa ukawa kwani wamenywea kama vile na wao ni wahanga wa majipu. Furaha ya wabunge wa ukawa imepungua kwani wamekosa hoja za kukabuliana na Serikali ya Magufuli kwani kwasasa Serikali inafanya kazi kwa spidi ya kasi na ufanisi wa hali ya juu.

Wabunge wa Ukawa wanarudi majimboni na wengine wakipotelea jijini Dar kimyakimya kwani hakuna wanachokifanya bungeni na kuonekana ni wababaishaji mbele ya jamii. Hivi sasa wabunge wa ukawa hasa wa chadema wanajificha na kuogopa hata kufanya ziara za kutembelea wananchi kwani kila kitu Mbele ya Rais Magufuli kinafanyiwa kazi,

Wapi kelele za kubenea, Mnyika, Msingwa and etal. wote hoi.

kwa ushauri tu mkitaka legacy yenu iwejuu muungeni mkono na Rais katika kufanya kazi (HAPA KAZI TU) na kutumbua MAJIPU ili mheshimike mbele ya Watanzania ili mkiendelea na ngonjera na maigizo yenu bungeni mtazomewa mtaani
Hebu waambie waelewe! atafute strategy nyingine kama hii ya kutoka nje ya Bunge wananchi tumekwishawashtukia haina tija bali wanatumia hela zetu vibaya tena hatukubali teeeeena!
 
Wapinzani wamebaki bila agenda, agenda yao ilikuwa ufisadi.. Lakini sasa Lowasa kawafunga midomo!
 
Kusema ukweli bila ushabiki serikali ya Magufuli mpaka sasa hivi haiafanya jambo lolote la maana la kuonekana lililowaletea unafuu WA maisha watanzania. Tulidhani suala la elimu bure lingewasaidia watanzania lakini kinyume chake limegeuka kero na michango iko pale pale!Tulidhani atafunga mafisadi leo tunaona fisadi mkuu joka la makengeza chenge ni mwenyekiti WA bunge,fisadi wa mabehewa feki mwakyembe na fisadi escrow Muhonngo ni mawaziri!
 
bado sana mtumbua majipu aapata mkwamo kufika mwezi wa sita kwani wanaotumbuliwa wakienda mahakamani wanashinda kesi na serikali inawalipa miele mingi tu, ona Mramba na Yona kesho watakuwa sinza kufagia huku bil 7 na ushee zikiwa benki wakirudi nyumbani ni kuzitumbua tu fedha za wananchi bila huruma
 
Kasi ya hapa kazi na tumbua majipu ya ufisadi inayofanywa na Rais Magufuli imewaathiri wabunge wa ukawa kwani wamenywea kama vile na wao ni wahanga wa majipu. Furaha ya wabunge wa ukawa imepungua kwani wamekosa hoja za kukabuliana na Serikali ya Magufuli kwani kwasasa Serikali inafanya kazi kwa spidi ya kasi na ufanisi wa hali ya juu.

Wabunge wa Ukawa wanarudi majimboni na wengine wakipotelea jijini Dar kimyakimya kwani hakuna wanachokifanya bungeni na kuonekana ni wababaishaji mbele ya jamii. Hivi sasa wabunge wa ukawa hasa wa chadema wanajificha na kuogopa hata kufanya ziara za kutembelea wananchi kwani kila kitu Mbele ya Rais Magufuli kinafanyiwa kazi,

Wapi kelele za kubenea, Mnyika, Msingwa and etal. wote hoi.

kwa ushauri tu mkitaka legacy yenu iwejuu muungeni mkono na Rais katika kufanya kazi (HAPA KAZI TU) na kutumbua MAJIPU ili mheshimike mbele ya Watanzania ili mkiendelea na ngonjera na maigizo yenu bungeni mtazomewa mtaani
Kwani we ulikuwa unatakaje. Hao wa Ccm VIP wamejenga hoja gani bungeni .hayo majipu yaliyotumbuliwa hadi leo yameleta manufaa gani kwa wanannchi? Nitajie vijana ambao wamepata ajira baada ya majipu kutumbuliwa.
 
Serikali hii inayokuja na mpango wa mwaka mmoja bungeni?
Kama kila kitu kikosawa kwanini serikali inaforce kuzima vipindi vya bunge kurushwa live, nini mnaogopa wananchi wasikione kama serikali ya pombe imekamilika?
 
  • Thanks
Reactions: ydn
Kasi ya hapa kazi na tumbua majipu ya ufisadi inayofanywa na Rais Magufuli imewaathiri wabunge wa ukawa kwani wamenywea kama vile na wao ni wahanga wa majipu. Furaha ya wabunge wa ukawa imepungua kwani wamekosa hoja za kukabuliana na Serikali ya Magufuli kwani kwasasa Serikali inafanya kazi kwa spidi ya kasi na ufanisi wa hali ya juu.

Wabunge wa Ukawa wanarudi majimboni na wengine wakipotelea jijini Dar kimyakimya kwani hakuna wanachokifanya bungeni na kuonekana ni wababaishaji mbele ya jamii. Hivi sasa wabunge wa ukawa hasa wa chadema wanajificha na kuogopa hata kufanya ziara za kutembelea wananchi kwani kila kitu Mbele ya Rais Magufuli kinafanyiwa kazi,

Wapi kelele za kubenea, Mnyika, Msingwa and etal. wote hoi.

kwa ushauri tu mkitaka legacy yenu iwejuu muungeni mkono na Rais katika kufanya kazi (HAPA KAZI TU) na kutumbua MAJIPU ili mheshimike mbele ya Watanzania ili mkiendelea na ngonjera na maigizo yenu bungeni mtazomewa mtaani
Mwambie atumbue na hii kama ataweza, muhusika mkuu amempa Uwaziri na juzi tumeona akilindwa na kusababisha Jesca Kishoe eti kuadhibiwa,

Wafanyakazi TRL wataka ripoti ya mabehewa
 
Serikali inayojisifu kwa bomoa bomoa na fukuza fukuza ya watumishi huku wananchi katika mkoa ambao ni makao makuu ya chama tawala wanakula viwavi jeshi kutokana na njaa!
 
  • Thanks
Reactions: ydn
Hii kiukweli haijakaa vizuri..!!

Hatakama ni vijembe hivi ni matusi sasa... unajisikiaje kumtukana mtu aliyechagiliwa na wananchi zaidi ya hamsini elfu kama hivi.?

Hata kama wabunge wa ccm ni mbumbumbu kiasi gani, Siwezi kutumia kauli kama hizi. Jirekebishe.

BACK TANGANYIKA
Acha ubishi njoo muda huu hapa DeFrance Sinza uone ligi.
 
Ss kama serikali imekataza mikutano ya kisiasa, hao wabunge unataka wakaongelee wap, au ndo mnatafuta sabab ya kuwapiga tu!?
 
Kasi ya hapa kazi na tumbua majipu ya ufisadi inayofanywa na Rais Magufuli imewaathiri wabunge wa ukawa kwani wamenywea kama vile na wao ni wahanga wa majipu. Furaha ya wabunge wa ukawa imepungua kwani wamekosa hoja za kukabuliana na Serikali ya Magufuli kwani kwasasa Serikali inafanya kazi kwa spidi ya kasi na ufanisi wa hali ya juu.

Wabunge wa Ukawa wanarudi majimboni na wengine wakipotelea jijini Dar kimyakimya kwani hakuna wanachokifanya bungeni na kuonekana ni wababaishaji mbele ya jamii. Hivi sasa wabunge wa ukawa hasa wa chadema wanajificha na kuogopa hata kufanya ziara za kutembelea wananchi kwani kila kitu Mbele ya Rais Magufuli kinafanyiwa kazi,

Wapi kelele za kubenea, Mnyika, Msingwa and etal. wote hoi.

kwa ushauri tu mkitaka legacy yenu iwejuu muungeni mkono na Rais katika kufanya kazi (HAPA KAZI TU) na kutumbua MAJIPU ili mheshimike mbele ya Watanzania ili mkiendelea na ngonjera na maigizo yenu bungeni mtazomewa mtaani
Toka JK awaombee kwa Magufuli awakumbuke vijana wa mitandaoni, naona kila mtu atataka ajionyeshe mbele ya Mh ili asisahaulike. Nadhan JK alisahau kaulimbiu yenu ya Hapa kazi tu.
 
Tanzania tuna watu wana uelewa wa AJABU sana; sijui kalinganisha na msimu upi na kiaje hata sielewi? Hivi mikutano ya kisiasa imeruhusiwa? Well, umeiona ile "nyomi" ya mkutano wa happy birthday ya ccm kule singida?
 
Fisadi no1 wa Tanzania Andrea John Chenge ni mweyekiti wa bunge la ccm hahahaha ccm na ufisadi dam dam
 
Serikali hii inayokuja na mpango wa mwaka mmoja bungeni?
Kama kila kitu kikosawa kwanini serikali inaforce kuzima vipindi vya bunge kurushwa live, nini mnaogopa wananchi wasikione kama serikali ya pombe imekamilika?
Braza mbona kama umeporopmoka kiasi hiki, yani ktk vyooooooote umeona vipindi vya bunge tu daaah
 
Dah hili lichama la majipu limekua kama shetani la kutoa akili za watu sasa kasi gani ambayo umeiona wewe wakati maisha yanazidi kuwa magumu!
 
Kasi ya hapa kazi na tumbua majipu ya ufisadi inayofanywa na Rais Magufuli imewaathiri wabunge wa ukawa kwani wamenywea kama vile na wao ni wahanga wa majipu. Furaha ya wabunge wa ukawa imepungua kwani wamekosa hoja za kukabuliana na Serikali ya Magufuli kwani kwasasa Serikali inafanya kazi kwa spidi ya kasi na ufanisi wa hali ya juu.

Wabunge wa Ukawa wanarudi majimboni na wengine wakipotelea jijini Dar kimyakimya kwani hakuna wanachokifanya bungeni na kuonekana ni wababaishaji mbele ya jamii. Hivi sasa wabunge wa ukawa hasa wa chadema wanajificha na kuogopa hata kufanya ziara za kutembelea wananchi kwani kila kitu Mbele ya Rais Magufuli kinafanyiwa kazi,

Wapi kelele za kubenea, Mnyika, Msingwa and etal. wote hoi.

kwa ushauri tu mkitaka legacy yenu iwejuu muungeni mkono na Rais katika kufanya kazi (HAPA KAZI TU) na kutumbua MAJIPU ili mheshimike mbele ya Watanzania ili mkiendelea na ngonjera na maigizo yenu bungeni mtazomewa mtaani
Majipu mengi yapo wabunge wanajipanga tu subiria moto unakuja, maigizo yote yataibuka lile la Muhimbili kuzuga wamenua mashine na vitanda kumbe wanachukua kwingine, kuzuga kusherekea sikukuu ya Uhuru lakini sikukuu ya ccm imetumia pesa nyingi na kupoteza Uhai wa polisi kwenye ajali, mabehewa feki ya Mwakyembe, Escrow, Ununuzi kivuko kibovu, mikataba ya Gesi, bandani ya Bagamoyo kuna harufu ya rushwa yapo maovu mengi wewe tulia utasikia (ukiona Kobe katulia ujue anatunga Sheria) wabunge wa Upinzani wamewaacha kwanza mjiachie mchafuke mpaka mjisahau ili kimbunga kikianza waanze kutafutana kwa Tochi mchana kweupe.
 
Back
Top Bottom