Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,127
- 13,360
Mimi kama mwenyekiti wa chama cha wanaume nakupa yellow card! Usirudie tena! Kama umelianzisha kwa mwanamke komaa mpaka uibuke kidedea,sio kwa mfano unaingia home kwa biti kubwaa oya pika chakulaaa nilee!! Akikujib kwani me hausgel wako unaanza kunywea bas nisamehe mke wng,Hapana mi sio dhaifu kwa mtu yoyote hapa duniani.
Sema hapo nilikua namrizisha ajione na yeye ana thamani yani ajione ni thinker mbele ya great thinkers!