Hapa JF kuna mwanamke aliyekamilika kwa uzuri kama huyu?

Unajua unapoangalia picha jaribu kuangalia kila kitu, kwani kuna picha zingine zina maana tofauti na aliyeiweka tofauti na aliyepiga.
Ingawa hata mpiga picha nae akawa ana dhamira ya kupiga kitu na kwenye picha vikaonekana vingine kabisa.

Hapo inaonekana huyo jamaa hamjui ila kaamua kumuongezea na vitunguu na viazi
Ndio maana kaamua kumfukuzia na huo mfuko.
Yeye ndio angetuambia kaona nini huko chini wakati anamuuzia mchicha huo.

Maana sio kwa mbio hizo
We jamaa kiboko,mpk brake umeona daaah! Nadhani unaweza kutuambia hata rangi ya kufuli la huyo mdada au hajavaa kabisa?
Na wewe sema
 
Unajua unapoangalia picha jaribu kuangalia kila kitu, kwani kuna picha zingine zina maana tofauti na aliyeiweka tofauti na aliyepiga.
Ingawa hata mpiga picha nae akawa ana dhamira ya kupiga kitu na kwenye picha vikaonekana vingine kabisa.

Hapo inaonekana huyo jamaa hamjui ila kaamua kumuongezea na vitunguu na viazi
Ndio maana kaamua kumfukuzia na huo mfuko.
Yeye ndio angetuambia kaona nini huko chini wakati anamuuzia mchicha huo.

Maana sio kwa mbio hizo
Mdunguaji ktk malengo sahihi.
 
27 Reactions
Reply
Back
Top Bottom