Wanawake wa jf ni manunga tupu..! Ingawa uzuri wa mtu/kitu upo machoni mwa mtu..Hivi mnatufikiriaje wanawake wa JF kwamba sisi ni wabaya sana au?
Wapo wazuri zaidi ya huyo, sijawahi kuwaona ila naamini hivyo sababu hapa ni kama mtaani kuna wazuri pia.
Na wanaume wa JF je?Wanawake wa jf ni manunga tupu..! Ingawa uzuri wa mtu/kitu upo machoni mwa mtu..
Vp ww ni mzur kuzid huyoHivi mnatufikiriaje wanawake wa JF kwamba sisi ni wabaya sana au?
Wapo wazuri zaidi ya huyo, sijawahi kuwaona ila naamini hivyo sababu hapa ni kama mtaani kuna wazuri pia.
Simfikii hata kucha mkuu.Vp ww ni mzur kuzid huyo
Ok, ila nachoamini uzuri wa mwanamke upo machoni mwa mwanaume anyemtazama.Simfikii hata kucha mkuu.
Wa jf wote vibungo! Nina ushahidi katika hiliHivi mnatufikiriaje wanawake wa JF kwamba sisi ni wabaya sana au?
Wapo wazuri zaidi ya huyo, sijawahi kuwaona ila naamini hivyo sababu hapa ni kama mtaani kuna wazuri pia.
Weka pichaasa ana uzuri gani
Demu wa kawaida kabisa mm mwenyewe hamifikii kabisa hata ¼
mleta uzi unataka kututoa mapovu anzisheni shindano la mrembo wa JF muone
Mwanaume hasifiwi uzuri..!Na wanaume wa JF je?
uchi uko wapi hapo.Huyu uzuri uko wapi, au kisa umeona uchi ndio ukasema ni mzuri...
Jamani Jowzey kweliWa jf wote vibungo! Nina ushahidi katika hili