Zero IQ fansIle ilikuwa ya kubumba ili kujilinganisha na Yanga. Rage fc hawajielewi
Wanayanga wengi ni Zero IQLile lilikuwa bonanza sio mashindano halisi... Wqpakwa mafuta huwa mnauupzi. Hamtaki kuambiwa ukweli😂
Ile ilikuwa ya kubumba ili kujilinganisha na Yanga. Rage fc hawajielewi
Simba kafika fainali moja CAF wako sahihi
Hii For the first time ever
Hii Ina maana hawatambui Ile fainali yetu ya Abiola kapu 93?
View attachment 3336329View attachment 3336917
Hii For the first time ever
Hii Ina maana hawatambui Ile fainali yetu ya Abiola kapu 93?
View attachment 3336329View attachment 3336917
Kaka vaa medali hiyo ya ndugu abiola mashudu.
Ile ilikuwa ya kubumba ili kujilinganisha na Yanga. Rage fc hawajielewi
kuna watu naona wanaumwa matumbo ya kuhara wakisikia simba sc inatajwa..
Hayakuwa Shirikisho hayo.... Yaani unabishana na CAF wenyewe![]()
6.3K reactions · 17 shares | Aliyekuwa nahodha wa kikosi chetu kilichocheza fainali ya Kombe la CAF mwaka 1993, Mohamed Mwameja akizungumzia ilivyokuwa katika fainali ile ambayo tulikutana na Stella Abidjan lakini pia ujumbe wake kwa nahodha wa sasa
Aliyekuwa nahodha wa kikosi chetu kilichocheza fainali ya Kombe la CAF mwaka 1993, Mohamed Mwameja akizungumzia ilivyokuwa katika fainali ile ambayo tulikutana na Stella Abidjan lakini pia ujumbe...www.facebook.com
Wewe empty head kabisa.Hayakuwa Shirikisho hayo.... Yaani unabishana na CAF wenyewe
Kwenye msimamo hapo barani Africa unashika nafasi ya ngapi ..??Simba ni takataka gani kwenye soka la Afrika? Asiheshimiwe Al ahly, Mamelodi, Yanga, ES Tunis aheshimiwe huyo wa shirikisho huko!🤣🤣🤣
Wanayanga wengi ni Zero IQ
Wamwambie akuletee na medal😂😂 .. fainal gan haina medal bro?.![]()
6.3K reactions · 17 shares | Aliyekuwa nahodha wa kikosi chetu kilichocheza fainali ya Kombe la CAF mwaka 1993, Mohamed Mwameja akizungumzia ilivyokuwa katika fainali ile ambayo tulikutana na Stella Abidjan lakini pia ujumbe wake kwa nahodha wa sasa
Aliyekuwa nahodha wa kikosi chetu kilichocheza fainali ya Kombe la CAF mwaka 1993, Mohamed Mwameja akizungumzia ilivyokuwa katika fainali ile ambayo tulikutana na Stella Abidjan lakini pia ujumbe...www.facebook.com
Hapa Simiyu mambo ni faya, tunafurahia kuingia fainali ya CRDB CUPHuyu pimbi karudi tena? Sijui alikuwa Ikungulyabhashashi, Simiyu huko au wapi? Anaongeaga upupu tu siku zote.