HAO (Joh Makini) Vs FID Q.COM

HAO (Joh Makini) Vs FID Q.COM

kende

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2013
Posts
3,527
Reaction score
1,669
Fid Q na Joh Makini Ni miongoni mwa wasanii bora kupata kutokea bongo kwenye Hip hop, kila mmoja anangoma kali nyingi. Ila binafsi ukiniambia nichague wimbo mmoja tu wa Fid Q ambao niliwahi kuupenda zaidi na haujawahi kunichosha ntakwambia FID Q.COM, na kwa upande wa Joh Makini ni HAO. Nimetoka kuzisikiliza sahivi dah nashindwa kuchagua upi zaidi. Hizi ngoma nazikubali kuanzia beat, lyrics hadi namna walivyochana. Mdundo wa Fid Q.Com uligongwa na Baucha n' HAO uligongwa na Ludigo. .Upi wimbo bora zaidi kwako kwa vigezo vya;
1. Mdundo(beat)
2. Lyrics
3. Flow
???
 
Fid Q na Joh Makini Ni miongoni mwa wasanii bora kupata kutokea bongo kwenye Hip hop, kila mmoja anangoma kali nyingi. Ila binafsi ukiniambia nichague wimbo mmoja tu wa Fid Q ambao niliwahi kuupenda zaidi na haujawahi kunichosha ntakwambia FID Q.COM, na kwa upande wa Joh Makini ni HAO. Nimetoka kuzisikiliza sahivi dah nashindwa kuchagua upi zaidi. Hizi ngoma nazikubali kuanzia beat, lyrics hadi namna walivyochana. Mdundo wa Fid Q.Com uligongwa na Baucha n' HAO uligongwa na Ludigo. .Upi wimbo bora zaidi kwako kwa vigezo vya;
1. Mdundo(beat)
2. Lyrics
3. Flow
???

fid sayar nyingine ww usimfananishe na jo
 
Fid Q na Joh Makini Ni miongoni mwa wasanii bora kupata kutokea bongo kwenye Hip hop, kila mmoja anangoma kali nyingi. Ila binafsi ukiniambia nichague wimbo mmoja tu wa Fid Q ambao niliwahi kuupenda zaidi na haujawahi kunichosha ntakwambia FID Q.COM, na kwa upande wa Joh Makini ni HAO. Nimetoka kuzisikiliza sahivi dah nashindwa kuchagua upi zaidi. Hizi ngoma nazikubali kuanzia beat, lyrics hadi namna walivyochana. Mdundo wa Fid Q.Com uligongwa na Baucha n' HAO uligongwa na Ludigo. .Upi wimbo bora zaidi kwako kwa vigezo vya;
1. Mdundo(beat)
2. Lyrics
3. Flow
???

Joh ni planet nyingine ww usimfananishe na fid q
 
Namkubali zaidi Joh kuliko Fid nowadays
Ila Fid q.COm ni kali kuliko HAO ya Joh Makini
Hilo song ni noma kuanzia beat , flow , mixing
Nadhani hata Joh analikubali hilo song
 
Kuwashindanisha hao jamaa co fair coz ni generation tofauti bt tukiongelea kushika 4 abt 4 yrz now joh kashika mfululizo n jamaa yko vzt ingawa fid bado atabaki ni kaka kwa joh
 
Hao is best Hip Hop track ya Joh Makini,Fid ana track anazomzidi Joh Makini but sio FIDQ.COM
 
nimepita tuhapa kusoma comment zenu ila kwawalicho fanya juzi kati kujipendekeza kwa Kikwete nimeweka mgoma wakuto sikiliza na kusupport mziki wao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom