sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,525
- 7,377
Mpaka baadae nitakuwa nishaupata.Leta ubuyu kamili
Hahahaha kama ni kufanya biashara ya music basi hajui anachotaka... unapata bahati ya kusainiwa WCB then unazingua aangalie label zingine kina ibra sijui ki2ga mpaka leo wameshindwa kutokaMziki biashara then yy ndiye anayeijua anataka nini.
Hahahaha kama ni kufanya biashara ya music basi hajui anachotaka... unapata bahati ya kusainiwa WCB then unazingua aangalie label zingine kina ibra sijui ki2ga mpaka leo wameshindwa kutoka
sijui kutoka anakomaanisha ni kupi?Ibra si ametoka mkuu au unamzungumzia ibra yupi?
Kwin dalini na Lavalava wametoka kwenda wapi?Hahahaha kama ni kufanya biashara ya music basi hajui anachotaka... unapata bahati ya kusainiwa WCB then unazingua aangalie label zingine kina ibra sijui ki2ga mpaka leo wameshindwa kutoka
Lavalava anaweza simama popote nchi hii akafanya show na akajaza watu sawa na Harmonize au Kiba.Kwin dalini na Lavalava wametoka kwenda wapi?
Dogo ibra ndio bado hajatoka?Lavalava anaweza simama popote nchi hii akafanya show na akajaza watu sawa na Harmonize au Kiba.
Uwezi kuuza product yoyote ya ibra na ukapata faida sio show sio EP sio appearance.Dogo ibra ndio bado hajatoka?
Au kutoka unamaanisha nini?
Hahaa mkuu wewe unaongea kama nani kwenye industry ya muziki? Au umetumia vigezo gani?Uwezi kuuza product yoyote ya ibra na ukapata faida sio show sio EP sio appearance.
Hahahaha kama ni kufanya biashara ya music basi hajui anachotaka... unapata bahati ya kusainiwa WCB then unazingua aangalie label zingine kina ibra sijui ki2ga mpaka leo wameshindwa kutoka
Nchi kama Tanzania inabidi kujivunia sana kuwa na mwanamuziki kama ALIKIBA.Wakati watu wanasubiria msanii anaefatia kutambulishwa WCB ni Hanstone yule wa kwenye Iokote.
Muda sio mrefu ameachia EP yake bila kuwa chini ya management ya WCB Wasafi.
Maswali yamekuwa ni mengi sana.
Je ameshindwa kuvumilia msoto wa benchi kama mwenzie Zuchu?
Au WCB walichoka matukio yake ya utovu wa nidhamu?
Au nini kimetokea?
Soon nawajuza kila kitu.
Ibra si ametoka mkuu au unamzungumzia ibra yupi?