sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,522
- 7,370
Wakati watu wanasubiria msanii anaefatia kutambulishwa WCB ni Hanstone yule wa kwenye Iokote.
Muda sio mrefu ameachia EP yake bila kuwa chini ya management ya WCB Wasafi.
Maswali yamekuwa ni mengi sana.
Je ameshindwa kuvumilia msoto wa benchi kama mwenzie Zuchu?
Au WCB walichoka matukio yake ya utovu wa nidhamu?
Au nini kimetokea?
Soon nawajuza kila kitu.
Muda sio mrefu ameachia EP yake bila kuwa chini ya management ya WCB Wasafi.
Maswali yamekuwa ni mengi sana.
Je ameshindwa kuvumilia msoto wa benchi kama mwenzie Zuchu?
Au WCB walichoka matukio yake ya utovu wa nidhamu?
Au nini kimetokea?
Soon nawajuza kila kitu.