Hans Pope, jeuri na kisiki

Chapa Nalo Jr

JF-Expert Member
Dec 8, 2010
7,515
6,489
Nakumbuka enzi ya mgogoro wa mizani na malori ya mizigo, mtukufu akiwa waziri mwenye dhamana na mizani ya barabarani, ndugu Hans Pope alimtolea lugha ya dharau sana mtukufu. Hapa naangalia ITV taarifa, lory zake za mafuta zaidi ya kumi zimebanwa na TRA TUNDUMA wakidaiwa arrears of kodi. Cha kushangaza karibu gari zote ni za HANSI POPE. Mimi si ccm hata kidogo. Naichukia ccm na viongozi wake. Ila pamoja na hayo dharau ya HANS POPE ilizidi kipimo. Simba toeni ushauri kwa jamaa yenu.
 
Nasikia anajenga five star hotel pale Iringa mjini.
Hilo gorofa refu ndo Hanspope hotel iringa town
a6815fbf87b85f78e35945a7dd1f4c26.jpg
 
Back
Top Bottom