barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,326
- 29,589
Unajua status yake? Waathirika wengi huwa na tabia kama yake.Habarini za jpili wakuu? bango linajieleza hapo juu.
Nina mchepuko wangu fulani hivi mchanganyiko wa kisukuma na kinyamwezi ambapo hadi kufikia sasa tuna muda kidogo katika mahusiano yetu.Off coz niseme tu nampenda lakini sijawekeza kitu chochote cha dhamani kwake na sitokaa nifanye hivyo kamwe.
Issue iko hivi simtafuti kwenye simu na yeye pia hanitafuti, cha ajabu nikiamua kumtafuta muda wowote nampata hata saa nane za usiku nikipiga tu simu anapokea,nikitaka kuchakata ile kitu muda wowote ninaotaka mimi huwa hana pingamizi,nikitaka kulala kwake muda wowote ule kwa masaa yyt yale huwa hana kizuizi chochote kile.Ananipikia pale ninapohitaji lakini vilevile ananifulia pale ninapohitaji.
Ameshanifumania mara kibao na mademu wengine.Yaani kwa kifupi mimi ni wale wanaume ambao ni wasumbufu sana kuna muda huwa naamua kumuacha ila nikiamua kumrudia tena huwa hana pingamizi lolote kwangu,au ndio ule usemi kwamba wanawake huwa wanapenda wanaume majeuli.
Swali je ni mwamimifu katika mahusiano?
Je hachepuki sehemu nyingine?
Je ananipenda sana?
Naombeni ushauri wenu wakuu.
She got nothing to lose,Habarini za jpili wakuu?Moja kwa moja bango linajieleza hapo juu.
Nina mchepuko wangu fulani hivi ambapo hadi kufikia sasa tuna muda kidogo katika mahusiano yetu.Off coz niseme tu nampenda lakini sijawekeza kitu chochote cha dhamani kwake.
Issue iko hivi simtafuti kwenye simu na yeye pia hanitafuti,cha ajabu nikiamua kumtafuta muda wowote nampata hata saa nane za usiku nikipiga tu simu anapokea,nikitaka kuchakata ile kitu muda wowote ninaotaka mimi huwa hana pingamizi,nikitaka kulala kwake muda wowote ule kwa masaa yyt yale huwa hana kizuizi chochote kile.Ananipikia pale ninapohitaji lakini vilevile ananifulia pale ninapohitaji.
Ameshanifumania mara kibao na mademu wengine.
Swali je ni mwamimifu katika mahusiano?
Je hachepuki sehemu nyingine?
Je ananipenda sana?
Naombeni ushauri wenu wakuu.
Hana HIV na anajali sana afya yakeUnajua status yake? Waathirika wengi huwa na tabia kama yake.
Negative kila kituUnajua status yake? Waathirika wengi huwa na tabia kama yake.
Negative for 100%!!also I'm negative for 100%.She got nothing to lose,
Hana Cha kupoteza,nenda kacheki ngoma,
Yaani mkuu hata nikimpigia simu usiku wa manane ana-respond faster sana!!...huyo ni jini,kweli nakwambia mkuu huyo ni jini...kweli kabsa
Wee saa 8 usku...any time
Kwa nini wewe hujali afya yake?Hana HIV na anajali sana afya yake
Kwa nini wewe hujali afya yake?
Hapana humjali, otherwise usinheswampa huko kwa vichenchende vyako. Huyo mama anakuheshimu na anakupenda ila wewe ndioo hakina HAAMBILIKINajali mkuu sema ukorofi tu unanisumbua.
Kweli kabisa mkuuHapana humjali, otherwise usinheswampa huko kwa vichenchende vyako. Huyo mama anakuheshimu na anakupenda ila wewe ndioo hakina HAAMBILIKI
Je, wewe mwaminifu katika mahusiano yenu na kama si mwaminifu kwanini yeye awe mwaminifu kwako tu? Grow up na kajipige vidole kulee.Habarini za jpili wakuu?Moja kwa moja bango linajieleza hapo juu.
Nina mchepuko wangu fulani hivi ambapo hadi kufikia sasa tuna muda kidogo katika mahusiano yetu.Off coz niseme tu nampenda lakini sijawekeza kitu chochote cha dhamani kwake.
Issue iko hivi simtafuti kwenye simu na yeye pia hanitafuti,cha ajabu nikiamua kumtafuta muda wowote nampata hata saa nane za usiku nikipiga tu simu anapokea,nikitaka kuchakata ile kitu muda wowote ninaotaka mimi huwa hana pingamizi,nikitaka kulala kwake muda wowote ule kwa masaa yyt yale huwa hana kizuizi chochote kile.Ananipikia pale ninapohitaji lakini vilevile ananifulia pale ninapohitaji.
Ameshanifumania mara kibao na mademu wengine.
Swali je ni mwamimifu katika mahusiano?
Je hachepuki sehemu nyingine?
Je ananipenda sana?
Naombeni ushauri wenu wakuu.
Tupe sababu kwanza kwanini huyo anaekupa kila kitu, unaonahafai kua official kipenzi na kumpa cheo cha mchepuko.
Na huku huna hata mke.
Je, wewe mwaminifu katika mahusiano yenu na kama si mwaminifu kwanini yeye awe mwaminifu kwako tu? Grow up na kajipige vidole kulee.
Famba we sindio umeandika uziMkuu mi mwenyewe nashangaa.
Unless you act fast, your goose is cooked. Women neither forget nor forgive.Ameshanifumania mara kibao na mademu wengine.
A man or woman, is only as faithful as his or her options.Swali je ni mwamimifu katika mahusiano?
I envy your naivety. It's your turn, she's not yours.Je hachepuki sehemu nyingine?
Hapana. Ila ww ni best option available amongst others. Learn to see through woman's mind.Je ananipenda sana?