mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 46,325
- 57,125
Amani hapo.niliulizia soda nikakosa. Labda handeni mjini na mkata ndo kidoogo wamestaarabika lakini vijiji vya ndani ndani hapo.ahaaa wee.utarogwaNilopigwa zongo Moja Hilo huko ni balaaa 😁😁 uzuri wake dawa wenyewe wanazijua wakanitibu ila moto niliuona