Swali lako lina mashiko hapo uhakika nikwamba hiyo mimba haikua yake ndyo maana aliona isiwe tabu aipige chiniMkuu una uhakika hiyo mimba iliyotolewa bila ww kushirikishwa ilikuwa yako?????? Tuanzie hapa
after two week tangu tuwe pamoja tukaenda wote kuangalia kama positive... mimba ilionesha ina wiki mbili tu, baadae nilipata ushaidi wa asilimia kubwa. niwe muwazi kidogo... moja aliogopa yeye ni mtoto wa dini upande ule na mimi upande ule. lakini ilo nikamtoa wasi na kumwambia mapenzi ya dhati ni kujitoa mhanga mimi nipo tayari kwa lolote na nitakua nae bega kwa bega. bora nife kuangaika sio kumwacha yeye anateseka. kiufupi adi kipindi icho katika maisha yangu nilikuwa sijui maana ya uongo... nilichosema nilimaanisha kutoka moyoni.Swali lako lina mashiko hapo uhakika nikwamba hiyo mimba haikua yake ndyo maana aliona isiwe tabu aipige chini
after two week tangu tuwe pamoja tukaenda wote kuangalia kama positive... mimba ilionesha ina wiki mbili tu, baadae nilipata ushaidi wa asilimia kubwa. niwe muwazi kidogo... moja aliogopa yeye ni mtoto wa dini upande ule na mimi upande ule. lakini ilo nikamtoa wasi na kumwambia mapenzi ya dhati ni kujitoa mhanga mimi nipo tayari kwa lolote na nitakua nae bega kwa bega. bora nife kuangaika sio kumwacha yeye anateseka. kiufupi adi kipindi icho katika maisha yangu nilikuwa sijui maana ya uongo... nilichosema nilimaanisha kutoka moyoni.