Hamu ya kufanya mapenzi kila mara

Hamu ya kufanya mapenzi kila mara

Huo umri unakuruhusu Mkuu! Subiri utakapofikisha kuanzia miaka 35 kuendelea na majukumu ya watoto one kama utakuwa na huo moto!
 
Yani nikishafikaga kwenye uwanjaa nakuaga kama simba anayemviziaaa swalaaa na akimpata anamyambuaaa kisawasawaa.

Tatizo swala tu kukubali kunyumbuliwaaaa
 
Kwani unataka uipe bia, piga mashine tu.
Mkeo avumilie tu, ndiyo maisha yenyewe. Kama unampenda usiende nje kutafuta mchepuko, msukumie rungu mkeo tu. Hilo ndiyo chaguo alilochagua.
 
Watu msio chepuka mna tabu sana dah.

Unatesa mwanamke wakati kuna wapenda game wamejaa mtaani, mwingine anasema nataka tukianza saa 1 hadi saa 6 ndo ushuke kutoka kwa papuchi non stop.
 
Mkuu ongeza wake hata wawe 5 wasaidiane....nimevuta taswira namna huyo mkeo huwa mnyonge usiku ukiingia.....
 
Tatizo ni ngum kuelewa mwanamke anataka nini...
Ukimfanya kidogo ataenda kulalamika,ukimfanya sana atalalamika,kuishi na mwanamke inahitajika akili ya ziada.

Kuna video ya dada wa kichaga,nimeona amejichukua akiwa wamelala na bwana wake,analalamika wazi wazi,ya kwamba jamaa akipiga kimoja tu chali,na ni kweli ukiitazama video lijamaa halina habari linakoroma kama gari bovu linapanda mlima.
 
Yani hapo mama wa watu ni kulalamika tu, hadi anaomba ushauri kwa mashosti,,
Yaniii wajamenii mim mwenzenu,
mwenzenu ndoa yangu isha kua ghalika.. baba chichi anaweka mambo..
Alafu unakuta anaowasimulia wanamuonea gele. Haya Maisha hayajawahi kuwa sawa hata Siku moja.
 

Mwanamke mwenzangu kazi anayo..dyudyu Kila muda!!
Anza kufanya mazoezi walau itasaidia kupunguza kuDo kiasi icho.
Lakin huoni jamaa akipunguza upigaji huoni mkewake ataanza tena ooooh mwanaume gan huyu kimoja tu chali, wanawake waliowengi ni vigumu kueaelewa nini wanataka, kwahiyo mimi naona jamaa aendeleze shoo, shoo tu.
 
Back
Top Bottom