mtarimbo
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,529
- 3,919
Habari zilizo chini ya kapeti ni kwamba Harmonize bado yupo Wasafi ila kinachoendelea ni drama ya kuhakikisha Ali Kiba anayeyushwa kwenye gemu. Mashabiki wengi wa Kiba watavutwa kwa Konde Boy company ambayo iko chini ya WCB, mpango huu umesukwa na jopo la wakongwe wanaomsimamia Mondi akiwemo msanii AY.
Na kazi moja ni kuhakikisha 2020 Ali Kiba anafutika, Mondi kwa sasa anafanya kila juhudi kufanikisha mpango wa kumzika kibusara na kiutu kwa kutoonesha bifu lolote huku akijikita kusaidia jamii ,huku Konde boy akijifua kutoka na singo jingine ambalo nia na madhumuni ni kuwasahaulisha watu kuhusu Ali Kiba, ambalo mpango ukifanikiwa itakua mchuano itakua ni kati ya Konde boy na Wasafi ambalo wote ni kitu kimoja.
N.B ishu ya kuwalipa Wasafi million 500 ilikua kiki na kuvuta attention.
Kweli kijana Mondi ni hatari sana
Na kazi moja ni kuhakikisha 2020 Ali Kiba anafutika, Mondi kwa sasa anafanya kila juhudi kufanikisha mpango wa kumzika kibusara na kiutu kwa kutoonesha bifu lolote huku akijikita kusaidia jamii ,huku Konde boy akijifua kutoka na singo jingine ambalo nia na madhumuni ni kuwasahaulisha watu kuhusu Ali Kiba, ambalo mpango ukifanikiwa itakua mchuano itakua ni kati ya Konde boy na Wasafi ambalo wote ni kitu kimoja.
N.B ishu ya kuwalipa Wasafi million 500 ilikua kiki na kuvuta attention.
Kweli kijana Mondi ni hatari sana