Huyo ni golikipa wa Yanga wa zamani
jina la kwanza alikuwa anaitwa Juma
Wewe kweli fyatu.Yeye Mondi anachokataa ni Mtoto, anadai hakuwahi kusikia kama Mtoto ameingia humo kwa Mobeto.
Aisee kweli hali ngumu , wao walale kitanda kimoja cjui viwili km haikuipatii pesa achana nayo

Anhaa,so kilishawah kuoneshwa?Bado mtoto ndio sababu
Nenda kwa daktr wa macho utakuwa na matatizo y machoNaona kama photoshop vike
Kufa kwajaPondamali....
Watu mnajua had vitanda vya WATU


ila hamisa kiboko

hahahahahaha..!! mambo yanazidi kunogaView attachment 590719 na baba yake hakuwa nyumaa,,ila arobain ni wiki ijayo,nasubiri kuona midomo