Polisi jamii
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 2,604
- 1,379
Wakawaida Sana Na Huo Mnyoo Wa Nywele Inaonyesha Jinsi Gani Wanamuandaa Kuwa Kahaba Wa Baadaye.Mtoto Umleavyo Ndivyo Akuavyo
Now this is classy,,,, thumbs up my ladyAm sorry broda if I have offended u in anyway
Really sorry
Hapendi mwamasu huyu,,,,Beira na kula kwako udaga na samaki za kahunda,utavunja chagga za hyatt mkuuDuh hik kidada kinazaaga na matajir tu et
Ngoja na mimi tajir wa kanda ya ziwa nije nijitose aisee japo nimuzalishe mapacha
Afadhali nimejua mapema.
Ndo washauri wa Hamisa hawa!hivi mnaomsema Hamisa
huyo diamond ana tabia njema gani?
huyo zari ana tabia njema gani?
huyo mama diamond ana tabia gani njema?
acheni kumpiga mawe mtoto wa watu!!!
hawezi kuamua vita ya panga kwa fimbo.
unapoamua kukimbizana na vichaa lazima ujitoe ufahamu!!
hio familia ya madale bila dongo juu ya dongo huwezi ishi nao!!!!
kila siku wao wanamwaga mboga, sasa wamepata wa kumwaga ugali!!!
huyo zarina juzi tu katoa live video anamdiss hamisa, kwahiyo yeye ndio mwema????
muacheni hamisa mimba hakujibebesha mwenyewe!! mtt ana baba yule mwacheni am-take care!!!!
Ndio maana nmekuulizaNdo washauri wa Hamisa hawa!
Hivi kwa akili yako ulitarajia kabisa kuna mwanaume aliye tayari kuachana na mwanamke aliye committed nae simply because amezaa nae?!
Ujinga kama sio upumbavu wa Hamisa ni pale alipotaka hadi Instagram wajue kwamba amezaa na Diamond wakati at family level tayari walishakubali hilo suala!
Hoja yako ingekuwa ya msingi endapo Diamond angekuwa amemkana Hamisa lakini hakumkana.
Diamond alikubali na alikuwa ana-take responsibility! Familia ya Diamond na wenyewe hawakuwa na namna so long as Diamond keshakubali! Sasa wewe kama mwanamke, what else ambacho ungehitaji?! Hadi akina Mange wajue kwamba amemkomesha Zari?!
Ni kutokana na huo ujinga ndio maana hata akina Bi. Sandra wakamgeuka na kumuona adui wakati zamani walikuwa pamoja nae!
Hivi umeshawahi kujiuliza kwanini huyo Bi. Sandra awe against Hamisa hivi sasa wakati zamani walikuwa vizuri?
Kama ulitarajia kuna mama ambae angesimama pamoja na mwanamke anayeonesha wazi anataka kuvuruga familia ya mtoto wake then una safari ndefu ya kujifunza!
Huna tofauti na Hamisa Mobeto. Akili sawa. Moja ya hatari zilizopo kwenye dunia hii ni kuwa na wanawake type yakoNdio maana nmekuuliza
huyo diamond ana mema gani? kuzaa nje ya main chick tu sio jambo jema...means una mahusiano yaliyokomaa na mtu nje mpaka umezaa...
bi sandra kutwa IG anarusha madongo ,kwahyo ndio mwema
kila mtu ana mapungufu yake ,msimuelemezee hamisa ubovu wote.
hivi tulivokua hatujui kuwa kazaa na mond watu walikesha kumtukana binti wa watu miezi... Hana nyongo? yy bikira maria?
kuna leo na kesho kaka/dada kama asingeweka wazi ana mtt wa nje, ndugu zake wengine wangekubaliana na hilo swala?
lkn kwa sasa lazima afanye majukumu kama baba, amlee mwanae kama watt wake wengine ,huo ndio uwanaume ambao umeyamwaga mambo lazima uyazoe!
hatusemi hamisa anafanya mazuri, Idgaf about her
lakini sipendi kuona mnamuona yeye ndio mbaya sana.. mnasahau kuna mbebesha mimba,kuna ndugu waliolijua hilo....
kama wabaya n wote sio yy pekee!!!
leta HojaHuna tofauti na Hamisa Mobeto. Akili sawa. Moja ya hatari zilizopo kwenye dunia hii ni kuwa na wanawake type yako
Unatanguliza neno 'Masha'Allah' !Jamani mtoto mzuri kweli
Kweli, hamisa mzuri ila too much filters na make up hadi ngozi ya uso haiendani na ya chiniUnatanguliza neno 'Masha'Allah' !
Au atakuwa Wema wa baadae akimsaidia 'mwenyekiti' wa upinzani na kiongozi wa bunge wa baadae !Aisee !
Hicho kitoto Miaka 20 ijayo atakuwa Kama sio DC Basi Mbunge wa Viti Maalum chini ya Utawala wa kina Kikwete wa baadae!
Da Mange mbona ndo mshauri wa Bavicha !Dada etu.. Ana bahati ya kuzaa na wenye vijisent.
Tatizo Dada etu. Mshauri wake mange.
Angekuwa Ana mkimbiza mwizi taratibu.
Kwa majay yupo. Kwa diamond yupo. Anakula huku na huku.
Watoto ndo ngao yake.
Siku akimwambia diamond Dylan anaumwa njoo nyumbani. Diamond atakataa?
Akija diamond anampa penzi Zito. Unafikiri diamond atamkumbuka zari?
Amewashauri nini?Da Mange mbona ndo mshauri wa Bavicha !
Umeniwakilisha mawazo yangu... Yaani huyu mtoto asipo pata elimu inayo eleweka atakuwa na hasara kubwa sana..... MajizoMajay awekeze kwenye malezi na elimu mtoto ni mzuri sana.
Mtoto ukisha mkosea kwenye foundation ya malezi akiwa mtoto, huyo lazma awe mbaya na ni hasara siyo kwa familia tu hadi kwa jamiiMtoto ni mtoto tu. Hawagi mbaya hata siku moja labda mzazi huwe humjali mwanao.