Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 11,163
- 22,739
Jamaa amakuwa akitoa madini sana humu na kutupa ilimu akhera kwa weledi mkubwa sana bila hata kututoza. Nashauri awe anatoza nyuzi zake angalau basi hata Tsh 50,000 kwa uzi mmoja.
Najua atakuwa anapigwa vita na kuchukiwa na watu. Nikija Bongo nitamtafuta nimpatie mbinu za kijasusi nyingine za kuishi na watu wenye akili za kimajini majini. Maana mimi nmepata Israel mbinu za kimedani najua kuishi na watu wa aina hiyo.
Nawashauri hata wa dini ya kikafir kiarab wasisite kupata elimu toka kwa huyu mtu wa kitabu maana imeandikwa hivyo kwenye msahaulifu.
Najua atakuwa anapigwa vita na kuchukiwa na watu. Nikija Bongo nitamtafuta nimpatie mbinu za kijasusi nyingine za kuishi na watu wenye akili za kimajini majini. Maana mimi nmepata Israel mbinu za kimedani najua kuishi na watu wa aina hiyo.
Nawashauri hata wa dini ya kikafir kiarab wasisite kupata elimu toka kwa huyu mtu wa kitabu maana imeandikwa hivyo kwenye msahaulifu.