NKUU SINDE KWETU
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 830
- 91
Mwenyekiti wa Mkoa wa Shinyanga amemfagilia Waziri Mkuu Mstaafu aliyejiuzulu Mh Edward Lowassa.
Mgeja aliyasema hayo juzi huko Kahama wakati Mh Lowassa akiendesha kampeni ya uchagiaji wa shule ya Anglicana.
Mgeja amesema watu wanaomsema vibaya Lowassa kwa kuendesha harambee mbalimbali wanaweweseka na kivuli chake!!
Source: Mwananchi Leo
Mgeja aliyasema hayo juzi huko Kahama wakati Mh Lowassa akiendesha kampeni ya uchagiaji wa shule ya Anglicana.
Mgeja amesema watu wanaomsema vibaya Lowassa kwa kuendesha harambee mbalimbali wanaweweseka na kivuli chake!!
Source: Mwananchi Leo