Hahaha, mda simrefu utamsikia kingwangwala naye akisema nikiombwa kugombea urais ntagombea ila mda ukifika ndio ntasema sawasawa hii nchi bwana kila anayepevuka anataka kwenda magogoni tunakazi sana.Sasa inamaana yeye alikuwa hajui kama misafara ya nje JK huwa anakwenda kwa ajili ya shopping? hii mbulula nayo kuachiwa kiti kwa masaa anaona dunia nzima yake!! Mnyamwezi mpuuzi kweli huyu.