Unauliza majibu, itaua taifa lotewameshawauwa, sasa israel sijui atafanya nini. inatia huruma sana.
ni swala la mda tu raia wa israel watamuua nyetanyahu kwa mikono yaokwa kuwaualia ndugu zao waliotekwa kule GAZA,pona yake ni ku resign na kuwekwa kolokoloni...hataki basi kabla krismas benjamin atakuwa mwendazakeSasa shauri yao Hamas kama hao mateka wameyeyuka, watavuna jeuri yao. Mazayuni hawana huruma wala hasara tena, ni mwendo wa kipigo tu.
Ndugu hata Israel pia Kuna watu wanamlaumu waziri mkuu kwa kushindwa kuwapata hao mateka hadi leo.Acha urongo raia wa Gaza wanalalamika kila siku na wamekatishwa tamaa na Hamas kutotaka vita isimame.. aljazeera siku walibugi kumhoji mzee ambaye hawajampanga ilikuwa live akawaponda Hamas aljazeera wakakatisha kumhoji..
Ukiona mtu anahojiwa ni maigizo ya same people Hamas ndio maana yamejaa Kila hospital.. hata ingekuwa Tanzania kubomolewa nyumba yangu na adui alfu niichekee jwtz sababu za kutotaka kuachia mateka wa Adui.. kamwe ukishashindwa umeshindwa tu una Surrender kuokoa raia na sio ubishi wako wa kipuuzi
Watu wa Gaza wana ushirikiano wa kizalendo wa hali ya juu sana na kuheshima mamlaka ndio maana wanauliwa lakini hakuna malalamiko kwa Hamas.Wanajua sababu ni ukatili wa Israel.
Sasa hao mateka hata walioteka wanaweza kuwa ni familia iliyo na uchungu juu ya ukandamizaji wa Israel, inateka halafu wanatoa taarifa kwa Hamas kwamba na wao wana mateka.Hamas wanaweka kwenye kanzi data yao.Siku wakwataka baada ya vigezo kutimia wanawafuata na kuwaomba kwa wanaowashikilia.
Sasa katika hali kwamba mabomu yamepigwa bila kizuizi inawezekana hata Hamas wamepoteza mawasilaiano na watu waliokuwa wamewashililia na huenda wamekufa wao na mateka wao.
Hawezi. Itazuia tu wafungwa, na huenda wakawa wanawaua kimya kimyaUnauliza majibu, itaua taifa lote
Kwanini mliwateka sasa hao mateka?Mateka wamekuwa kisingizio cha kuhalalisha mauaji ya kimbari gaza
Walishaachiwa,mateka wasiofika 100 ndio uuwe watu wengi hivyoNani aliyeenda kuwateka?
Strategy ya Hamas kujificha kwenye mahandaki chini ya Nyumba za raia nako unakuongeleaje?Walishaachiwa,mateka wasiofika 100 ndio uuwe watu wengi hivyo
Aliye wambia wawateke nani huku wanajua wanacheza na moto!Kama kwamba Israel imewaua yenyewe halafu inawadai.Ni hadithi ya mwanakondoo na fisi.
Ukweli na haki daima havifichiki hata ikichukua muda.Acha urongo raia wa Gaza wanalalamika kila siku na wamekatishwa tamaa na Hamas kutotaka vita isimame.. aljazeera siku walibugi kumhoji mzee ambaye hawajampanga ilikuwa live akawaponda Hamas aljazeera wakakatisha kumhoji..
Ukiona mtu anahojiwa ni maigizo ya same people Hamas ndio maana yamejaa Kila hospital.. hata ingekuwa Tanzania kubomolewa nyumba yangu na adui alfu niichekee jwtz sababu za kutotaka kuachia mateka wa Adui.. kamwe ukishashindwa umeshindwa tu una Surrender kuokoa raia na sio ubishi wako wa kipuuzi
Nyinyi mnaoabudu Mungu aliyedundwa usiku kucha na yakobo mna akili sanawaislam mna akili ndogo sana , mnasahau mapema sana , mateka hawa walipotea oct 7 , sijui kama wapalestina waliivamia gaza na kila mtu kuondoka na mateka wake hadi nyumban kwake bila kuwa under hamas arrangement
Uislam unapambana kuwapumbaza akili ili uwatumir kwenye ugaidina kujilipua