Palestine Will be free
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,998
- 6,630
Wanaosapot israel wote makafiri tu hawawezi kuifuta palestine hata aje baba yao USA
Mbona amerika ameshamsaidia sana + silaha zake nzito alizonazo na mandege + Helicopters lakini mpaka wa leo ameshindwa vita! Na Hawa wote wanaomuunga mkono israel wataingianao jahannam.

wapo pia wakristo wanakufa huko palestina, but! Wengi wao ni waislamu na ni ndugu zetu pia katika imani المسلم أخو المسلم . Sasa unataka tusiwaombee na badala yake tuwaombee wa congo n.k!!! Hebu nijibu kwanza
