Hamas wanaishi kama digidigi

Hamas wanaishi kama digidigi

Sijakukataza kuwaombea mzee... nimeongeza list tu hapo, Waombeeni na wale wa Nigeria na Congo hilo tu. Maana wema huanzia nyumbani.

Ni kama vile BAKWATA walipo plan kufanya maandamano kwa ajili ya PALESTINA wakasahau kuwa kuna Masheikh wa Uamsho wanasota Jela kwa kesi za KUTENGENEZA na hawajawahi hata fanya maandamano ya amani kutaka HAKI ITENDEKE DHIDI YAO.

Mkuu, samahani. Wewe ni Muisilamu?
 
Hivi Palestine imetajwa hata kwenye Quran tukufu kulishawahi kuwa na Palestine ila israel imetajwa nashindwa kuelewa Israel anaporaje ardhi yake mwenyewe
Hawa wanaokanyaga bendera ya Israel ni Wayahudi kuliko ww wa buza unakaza mishipa ya ubongo kutetea upuuzi, alaf angalia hio ramani ya eneo hilo, pia Jordan au Marekan imetajwa kwenye Qur-an? Mbona zipo hizo nchi, Je wale wayahudi aliowakusanya hitla na kuwauwa walikua ni wayahudi gani na ilikuaje wakaweko Europe na wasiweko Palestine kabla ya 1948?
JamiiForums1801579699.jpg
20210518_165904.jpg
 
Mm nakupa history ya kiswahili kipande kidogo tu utaelewa chanzo cha hawa wayahudi kuhamishwa Palestina


' jina liliendelea kutumiwa kwa umbo la Kiarabu "Filastin" na kutazamwa kama sehemu ya Shamu au Syria
Tangu eneo lilitawaliwa na Milki ya Osmani. Kwa muda mrefu maeneo ya Palestina yalikuwa sehemu ya kusini ya jimbo la, Damesk(Damaskas) katika( karne ya 19) jimbo la pekee la Yerusalemu liliundwa.
Hivi unaweza kuniletea Historia ya taifa lililowahi kuitwa Palestine lilianza mwaka gani na mfalme wao alikuwa nani na lugha yao iliitwaje na watu wake waliitwaje kabla ya kuporwa ardhi zao na Israel walishawahi kuwa na taifa lililoitwa Palestine
'' Baada ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia Uingereza ulitawala eneo hili kama eneo la kukabidhiwa la Shirikisho la Mataifa, na eneo hili lilikuwa pamoja na sehemu kubwa upande wa mashariki wa mto Yordani. Waingereza waligawa eneo katika sehemu mbili upande wa magharibi (Palestina yenyewe) na upande wa mashariki wa mto Yordani uliokuwa baadaye milki ya Yordani.

Kwenye sehemu ya magharibi iliyokuwa Palestina yenyewe kulikuwa na uhamiaji wa Wayahudi kutoka nchi za Ulaya ulioweka msingi kwa mapambano kati ya Israeli na Palestina ya baadaye.

Mwaka 1947 Umoja wa Mataifa uliamua kugawa Palestina katika sehemu tatu zilizopangwa kama Dola la Kiyahudi, Dola la Kiarabu na Yerusalemu kama mji wa kimataifa. Lakini Wayahudi walitangaza uhuru wa Dola la Israeli. Wenyeji Waarabu walipinga azimio hili na vita ilitokea. Baada ya mkataba wa kusalimisha amri Israeli mpya ilikuwa na sehemu ya Palestina kubwa kuliko awali. Asilimia kubwa ya wakazi Waarabu wa sehemu zilizokuwa chini ya Israeli mpya walikimbia au walifukuzwa nje. Ukanda wa Gaza ulishikwa na Misri na Ukingo wa Magharibi wa Yordani ulitawaliwa na milki ya Yordani''
 
Wakati wewe unawadanganya wenzako upo mwembe Chai unakunywa supu ya pweza au newala kwenye mshamba ya mpunga vita vya Sasa hivi sio kama vya Zaman watanganye wakufa wote ni bora watulie wajiulize wamekosea wap
Ah sawa utetezi dhidi ya wanyonge si lazima ushike bunduki!
Sometime maandiko kwa simu Kama hivi pia Ni pambano jipya dhidi ya ukoloni!
Palestine Ni taifa linalotawaliwa na wababe wa kizungu
 
Kosa kubwa la hawa Parestina ( Wafilisiti kwenye biblia ) ni kuwalea hawa Hamas, Hamas ni kikundi cha kigaidi kama vilivyo vingine duniani.

Mwenyezi Mungu kupitia manabii wa kale aliwaambia waislaeli wawamalize kabisa wafilisi ili wasiwasumbue mbele ya safari, lakini waIslael wakawaacha kwa kuwaonea huruma hili ndilo tatizo sasa ambalo halitakaa liishe, hawakutii amri ya Muumba wao.

Kumbuka tu kwamba wakati wana wa Islael wanafika kaanani yaani nchi waliyopewa na Muumba waliwakuta Wafilisti ( Waparestina wa leo) wanaishi maeneo haya !! Kiini cha tatizo ndicho hicho.
Dah mungu wa waisrael Ni mbaguzi Sana pia ana upendeleo. Bila shAka wapalestina so miongoni mwa viumbe wake ndo maana alitaka wauawe
 
Mm nakupa history ya kiswahili kipande kidogo tu utaelewa chanzo cha hawa wayahudi kuhamishwa Palestina


' jina liliendelea kutumiwa kwa umbo la Kiarabu "Filastin" na kutazamwa kama sehemu ya Shamu au Syria
Tangu eneo lilitawaliwa na Milki ya Osmani. Kwa muda mrefu maeneo ya Palestina yalikuwa sehemu ya kusini ya jimbo la, Damesk(Damaskas) katika( karne ya 19) jimbo la pekee la Yerusalemu liliundwa.'' Baada ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia Uingereza ulitawala eneo hili kama eneo la kukabidhiwa la Shirikisho la Mataifa, na eneo hili lilikuwa pamoja na sehemu kubwa upande wa mashariki wa mto Yordani. Waingereza waligawa eneo katika sehemu mbili upande wa magharibi (Palestina yenyewe) na upande wa mashariki wa mto Yordani uliokuwa baadaye milki ya Yordani.

Kwenye sehemu ya magharibi iliyokuwa Palestina yenyewe kulikuwa na uhamiaji wa Wayahudi kutoka nchi za Ulaya ulioweka msingi kwa mapambano kati ya Israeli na Palestina ya baadaye.

Mwaka 1947 Umoja wa Mataifa uliamua kugawa Palestina katika sehemu tatu zilizopangwa kama Dola la Kiyahudi, Dola la Kiarabu na Yerusalemu kama mji wa kimataifa. Lakini Wayahudi walitangaza uhuru wa Dola la Israeli. Wenyeji Waarabu walipinga azimio hili na vita ilitokea. Baada ya mkataba wa kusalimisha amri Israeli mpya ilikuwa na sehemu ya Palestina kubwa kuliko awali. Asilimia kubwa ya wakazi Waarabu wa sehemu zilizokuwa chini ya Israeli mpya walikimbia au walifukuzwa nje. Ukanda wa Gaza ulishikwa na Misri na Ukingo wa Magharibi wa Yordani ulitawaliwa na milki ya Yordani''
Hakuna taifa wala eneo lililoitwa Palestine wakati Israel walivyounda taifa lao nao wapalestine wanataka kuunda wakati hawakuwahi kuwa na taifa
 
Hakuna taifa wala eneo lililoitwa Palestine wakati Israel walivyounda taifa lao nao wapalestine wanataka kuunda wakati hawakuwahi kuwa na taifa
Kwahio wale maelf waizrail aliowauwa hitla walikua raabuni? Hakuna taifa linaloitwa Israeli ata kama limeundwa 1947 kwa kupewa silaha na kuteka maeneo ya watu kinguvu, Israil haina nchi kazi wanasumbuka tu na kuteka ardhi za watu, mwisho balozi zao zimeengezeka kuanzia 2020 kwa kulazimisha nchi lazima wafungue balozi basi hata hio haikujii akilini
 
Wanaosapot israel wote makafiri tu hawawezi kuifuta palestine hata aje baba yao USA
Israel inawafuta viongozi wao tuu wasio fuata sheria kudai haki tangia 1949. Yupom wapi, Abdalman Rantizi, Mohamed Hamshali, Abu Nidar, George Habash, Shehe Yasin, Nuwatif Hawatmeh,Ali hassan Salameh, Mohamed mabor, na Abu Zweitar? Soma kitabu cha terror International, the Vengeance na one day in september.
 
Kwahio wale maelf waizrail aliowauwa hitla walikua raabuni? Hakuna taifa linaloitwa Israeli ata kama limeundwa 1947 kwa kupewa silaha na kuteka maeneo ya watu kinguvu, Israil haina nchi kazi wanasumbuka tu na kuteka ardhi za watu, mwisho balozi zao zimeengezeka kuanzia 2020 kwa kulazimisha nchi lazima wafungue balozi basi hata hio haikujii akilini
Israel ndiye mwenye dunia nzima. kama nchi haina ubalozi na Israel basi raia wake hawezi kuja kuwa katibu mkuu wa umoja wa mataifa hata kama kapendekezwa na FIFA.
 
Kwahio wale maelf waizrail aliowauwa hitla walikua raabuni? Hakuna taifa linaloitwa Israeli ata kama limeundwa 1947 kwa kupewa silaha na kuteka maeneo ya watu kinguvu, Israil haina nchi kazi wanasumbuka tu na kuteka ardhi za watu, mwisho balozi zao zimeengezeka kuanzia 2020 kwa kulazimisha nchi lazima wafungue balozi basi hata hio haikujii akilini
Magaidi wa hammas na Hezbollah kama wanataka vita na Israel watoke hayo maeneo ya raia wanapojifichia kipindi cha mapigano wapigane maeneo yasiyokuwa na raia ili tuondoe huu unafiki wa kusema Israel inauawa raia watoto na wanawake
 
Back
Top Bottom