Mbona hao hamas hawaishi? kila thread/post wameangamia, mbona hawaishi?HAKUNA MAHALI PA KUJIFICHA: Ndege isiyo na rubani ya Israel yaona magaidi wawili wakiwafyatulia risasi wanajeshi wa IDF kaskazini mwa Gaza na kuwaangamiza.
View attachment 3404213
Dozi wataendelea kupewa mpaka waishe kabisa nanyi acheni tu kelele za kulalamika na kusingizia watoto ili majeshi ya Israel yafanye kazi inayotaliwa ya kuwanyoosha magaidi!!!Mbona hao hamas hawaishi? kila thread/post wameangamia, mbona hawaishi?
Naona umeshiba maharage ya jana “eti hawafiki 500”!!!!Israel ni dhaifu sana kila siku inapambana na kikundi cha watu ambao hawafiki hata 500 ila hawawamalizi.
Ndo nimeelewa kwanini walianza kumchokoza Iran wao na wakaanza kuomba amani wao wenyewe
Semaji la Netflix Mossad TZ HQ.Endelea kujifariji tu lakini kipondo kiko palepale!!!
Hapana vita sio kitu kizuri
hatar sanaHAKUNA MAHALI PA KUJIFICHA: Ndege isiyo na rubani ya Israel yaona magaidi wawili wakiwafyatulia risasi wanajeshi wa IDF kaskazini mwa Gaza na kuwaangamiza.
View attachment 3404213
Ahsante Zumaridi kwa taarifa, lakini mbona Mayahudi walivyokua wanapokeq kichapo kutoka Iran ulikua hupostiHAKUNA MAHALI PA KUJIFICHA: Ndege isiyo na rubani ya Israel yaona magaidi wawili wakiwafyatulia risasi wanajeshi wa IDF kaskazini mwa Gaza na kuwaangamiza.
View attachment 3404213
Gaza wanaume kuanzia miaka 12 Wana ushirikiano na Hamas Kwa njia Moja au nyingine labda waanze kijitenga sasa hivi baada ya Hamas kupigika.Wengine huvaa kiraia.Kwa hiyo acheni kulaumu Israel kuuwa raia huko Gaza 🤔Mbona hao hamas hawaishi? kila thread/post wameangamia, mbona hawaishi?
Wanafika wangapi?Naona umeshiba maharage ya jana “eti hawafiki 500”!!!!
Kipondo kikali cha mbwa mdokozi wa nyama chunguni.Endelea kujifariji tu lakini kipondo kiko palepale!!!
Hamas wako wangapi kwa takwimu za madrasa?Israel ni dhaifu sana kila siku inapambana na kikundi cha watu ambao hawafiki hata 500 ila hawawamalizi.
Ndo nimeelewa kwanini walianza kumchokoza Iran wao na wakaanza kuomba amani wao wenyewe
Wako 20 tu ila wanalitoa jasho taifa la mungu uchwara