mwasisi wa chama chenu Mzee Mtei hataki waislam, wee huoni Zito anavyopata tabu pale licha ya uwezo wake mkubwa?
Naombeni wanajf tumshauri mwanasiasa huyo ahamie Chadema ili kuongeza nguvu upande wa visiwani. Ni potential politician ambaye atatufaa. Ni maoni yangu, naomba mwenye nia nzuri aweke mchango wake hapa. Naomba kuwasilisha.
Nakubaliana na wewe. Yatosha kufanya naye kazi akiwa huko aliko.