Hamad Rashid, Said Miraji wang'olewa ADC, Bodi yashika usukani

Hamad Rashid, Said Miraji wang'olewa ADC, Bodi yashika usukani

Aanzishe cha kwake sasa, yeye si anajiona ni zaidi ya chama/
 
Dua la kuku hilo
Yule wa act ni jembe huoni anaongoza halimashauri ya Kigoma na madiwani kibao tu nchi nzima,
Tena ni Raisi mtarajiwa wa 2020.

Kwani 2020 muhula wa rais wa wasafi unakuwa umefikia kikomo?
 
Tanzania Hakuna Chama Cha Upinzani,kuna Makampuni Maslahi Tu Ya Watu.Licha Ya Madhaifu Yake Mengi Lakini Ccm Is Still The Better Party In Africa.Ccm Itatawala Miaka 900000000000000000000
 
Tanzania Hakuna Chama Cha Upinzani,kuna Makampuni Maslahi Tu Ya Watu.Licha Ya Madhaifu Yake Mengi Lakini Ccm Is Still The Better Party In Africa.Ccm Itatawala Miaka 900000000000000000000
Tanzania Hakuna Chama Cha Upinzani,kuna Makampuni Maslahi Tu Ya Watu.Licha Ya Madhaifu Yake Mengi Lakini Ccm Is Still The Better Party In Africa.Ccm Itatawala Miaka 900000000000000000000
natabiri , wewe ni mtoto wa kiongozi wa ccm , bisha !
 
Tunakushukuru sana lakini haya tumeyachukua kama yalivyowekwa kwenye gazeti , kwahiyo tusilaumiwe , bali shukrani kwa kuweka angalizo .

Hata huyo aliechukua ktk gazeti hajalisoma vizuri,,, Hamad Rashid ndio wanataka kumpa uongozi ndani ya mwezi
 
ndo naanza kujua kuwa chadema wlijipanga!, lichama bado lipo ngangari, cuf, act adc nccr, lazima ccm iviue
 
Hii ni kutokana na mgogoro kati yao ambao umesababisha chama kudorora na kusababisha kukosa hata diwani wa dawa kwenye uchaguzi mkuu.

Mwenyekiti wa bodi ya wadhamini Mh Kimangale Musa ataendesha chama kwa mwezi mmoja wakati ufumbuzi wa kudumu ukitafutwa.

==================
Sagga Continue!!
Hapa ngoja niagizie popcorn na Juice kabisa
 
Hata huyo aliechukua ktk gazeti hajalisoma vizuri,,, Hamad Rashid ndio wanataka kumpa uongozi ndani ya mwezi
ok , nimekuelewa , kwahiyo kumbe hii njama imesukwa na Hamad Rashid ili ampindue miraji siyo ? yaleyale yaliyomkuta Limbu , kanyang'anywa chama hivihivi tu .
 
Hulka ya watu wenye vinasaba vya mamluki ni kuanzisha mtifuano tu popote walilipo.
#Mrema#Hamad#Shibuda#Zitto
 
Kwa Uraisi ni sawa coz hata Madee ni Raisi.
Hata jpm ungeambiwa atakuwa Raisi usingekubali ungetoa kejeri kama hizohizo.

Haya ni mawazo yangu lakini huwezi jua bora ujiandae usiyempenda anaweza kuwa raisi wako.
 
Kwani 2020 muhula wa rais wa wasafi unakuwa umefikia kikomo?
Hata jpm ungeambiwa atakuwa raisi huku wakiwepo wanasiasa mahili kama Lowasana Dr slaa ungetoa kejeri kama hizi lakini Leo ndio raisi wako.
jiandae kisaikolojia usiyempenda anakuja.
 
Back
Top Bottom