Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 13,227
- 18,391
Afukuzwe tu akalime kijijini kwao... ana uroho wa madaraka... anataka uwenyekiti kwa lipi? Kaona mwenzie Seif anakula bata la umakamu rais anatamani awe yeye>> walivyokubali kufunga ndoa na CCM walifikiri vyeo watafaidi wote. Sasa wamegundua aliyebahatika kuwa makamu ama hata waziri ndo anafaidi (kama ilivyo desturi ya viongozi wa kiTZ,) .......alivyoukosa uongozi wa kambi ya upinzani mambo yalikuwa hivihivi... Mimi siwafagilii kabisa watu kama Hamad..
(TAYARI KESHAFUKUZWA Story over