huyu ni wa kufukuza tu ..nilikuwa namheshimu sana kumbe ana tamaa sana ya madaraka ..nonsense
kuna nini ktk siasa za bongo.....
zitto alivyotangaza kugombea uraisi tunakumbuka pia ....napata taabu kujua kama kuna demokrasia ya kweli, naona kama maigizo tu.....
It goes bothways.huyu ni wa kufukuza tu ..nilikuwa namheshimu sana kumbe ana tamaa sana ya madaraka ..nonsense
huyu ni wa kufukuza tu ..nilikuwa namheshimu sana kumbe ana tamaa sana ya madaraka ..nonsense
Acheni uchochezi.
ya ng'oswe aachiwe ng'oswe mwenyewe. Kwani naamini kuna taratibu na utamaduni wa kujadili mambo pasi na kupiga kelele nje.
Hili galasa la cuf linatakiwa kwenda Cdm, maana cdm inapenda kuchukuwa magalasa wa vyama vingine mfano prof Safari. Ni galasa alieshindwa uchaguzi wa mwenyekiti wa cuf.
Zitto alitaka kubombea urais wa nini, TFF? Kama urais wa Tz basi yaonekana hata hujui matakwa ya katiba ya sasa juu ya umri wa mgombea....
kabla ya 2015 kuna mambo mengi sana yatatokea katika nchi hii katika tasnia ya politiki- na hii ni dalili njema ya ukombozi wa taifa hili linalodhalilika kimataifa.CUF hawamwezi huyu mkongwe wa siasa na ukizingatia sio jumbe huyu labda atajiuzulu tu.
Katika ngazi ya Parliamentary huyu mkongwe wa siasa kakipa sana popularity chama hiki cha CUF sasa wakitaka kukosa hata kura moja 2015 wamwage huyu mkongwe wa siasa.