Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Mtatiro atangaza kwamba Hamad Rashid na wenzake 3 kuitwa mbele ya kamati ya maadili y Cuf kwa kosa la uasi.
Ch10 news 7pm
Ch10 news 7pm
Eeeeh nae anaungana na Lowassa na chenge kwenda kuchinjiwa kwenye kamati za maadili za vyama vyao...!kwenye kamati za maadili zina nguvu,nimeamini.Mtatiro atangaza kwamba Hamad Rashid na wenzake 3 kuitwa mbele ya kamati ya maadili y Cuf kwa kosa la uasi.
Ch10 news 7pm
wengine watakuja huko kwenu....Mpambano huu utaondoka na wengi! kuna watakaorudi ccm, na kuna watakaonyamazishwa kabisa!
Kwa tanzania hii ninayoijua hakuna kitu kinachoitwa ushahidi mzito.Hamad Rashid ataawamaliza akina Seif na Jussa. Anao ushahidi mzito kuhusu ufisadi wa helicopter iliyotumika Igunga ambayo pia inamhusisha Rpstam.
Ni mtokisiko mkubwa utatokea.
Kweli,cuf ni kama NGO ya ROSTAM Kwa muda sasa,jussa amekua akitumika kama kiungo muhimu sana cha mahusiano ya cuf na Rostam kupitia kwa Januari Makamba!hapa kuna mambo mengi sana yanazunguka,mpaka muafaka wa seif na karume uliopelea seif kuhamishia "ofisi ya ukatibu wa cuf ikulu ya zanzibar" na kisa cha shein kuwa rais wa zanzibar na bilal "kuletwa" bara,yote yana mkono wa Rostam na genge lake!lengo likiwa kumpisha njia lowassa amrithi jamaa magogoni indirectly,si mnajua shein kama angebaki bara baada ya mzee wa chalinze kumaliza muda wake ikulu angekua na sifa zote za kumrithi pale magogoni?kina Rostam waliliona hilo mapema mno,wakamleta bilal ambae walijua baada ya miaka mitano atakuwa kishachoka sana na hatakua na nguvu za kuitamani ikulu ya magogoni tena zaidi ya kuombea aendelee kuwa makamu wa rais kwa miaka mingine mitano!Hamad Rashid ataawamaliza akina Seif na Jussa. Anao ushahidi mzito kuhusu ufisadi wa helicopter iliyotumika Igunga ambayo pia inamhusisha Rpstam.
Ni mtokisiko mkubwa utatokea.
HR akija Chadema nahamia CUF rasmi.Hawawezi kuja CDM, maana tunawajua wote ni waumini wa Shibudaism!
watarudi kwa ndugu zao wanaofanana nao ccm
HR akija Chadema nahamia CUF rasmi.