HR ndo amekwisha. CUF itabaki na itaendelea na harakati za kisiasa. kwa wenye akili timamu na kumbukumbu za kutosha wanajua kwamba kwa Tz CUF ndo chama pekee ambacho kimekumbana na mikiki mikiki mikubwa bila kutetereka huku kikiendelea na MISIMAMO YA KULINDA SERA NA KATIBA YA CHAMA bila kujali UWEZETU au UVETERANI. Ni somo tosha kwa wasiopenda kuwajibika au kutumia sheria zilizopo kuwajibishana. Gamba limeshinda kuvuliwa kwa hofu ya kugawa chama - hakuna kitu kama hio ndani ya CUF-Sharia ni msumeno. Leo HR na wenzake watasema mengi but now they are out of the system. Msumeno umekereza nguzo walioegemea imekatika wemeanguka na hawatoinuka kisiasa. Kuna Inspector Mmoja aliwahi kuonesha aina zote za silaha (za kienyeji) ili kuipakazia CUF ila yuko wapi sasa. Kuna kiongozi Mmoja alikua akiwakebehi, kuwaadhibu na kuwadhalilisha CUF na viongozi wao yuko wapi sasa? Kidombooooooo hata macho hayana nuru! Yuko wapi yule kijana alieisaliti CUF Mkunazini na kuhamia CCM kama mpiga uongo-propaganda? karejeshwa ZNZ kwa kigari sasa anatembea kwa mkongojo! CUF imesimama kwa misingi imara na kitadumu. Sheria ni Msumeno. Seif anasimamia sheria za Chama. Ana udhaifu kama binadamu wengine ila hao kina HR wanashindwa kuleta ushahidi wowote wa kukiuka au kuvunja taratibu za Chama kama Seif (kama amewahiufanya hivyo ni kupitia vikao vya chama na hapo inakua sio maamuzi yake bali ni maamuzi ya Chama). HR and allies watafute biashara wafanye wameshindwa kuonesha uvumilivu wa kisiasa walitaka kwa nguvu ila wamepiga ngumi ukuta...
HR alishaweka wazi, yeye haamii chama kingine anaanzisha chama, alifukuzwa CCM wakaanzisha CUF na maalim seif