Hamad ana wafuasi wengi Tanganyika na Unguja, Seif Anaibeba Pemba

Natamani nisikie na CHADEMA, mmoja atangaze kumng'oa Mbowe au Slaa ili tuone hawa wanaojiita wanademocrasia kama wamekomaa au wanatuzuga tu
 
GreaThinkers,
Kuna Tetesi ya kutolewa hadharani matokeo ya Uchaguzi 2010 visiwani ambapo kwa tetesi zilizoenea mdogo mdogo ni kuwa Maalim(CUF) alimshinda Shein(CCM) kwa tofaouti ya kura zisizopungua elfu Ishirini ivi(20,000)

Baada ya kikao cha siri baina ya wakubwa hao, kura zilirekebishwa na ule msimamo wa CUF wa kuwa na Serikali tatu ukafia pale pale. Hakuna hakika kama Katiba ya CUF pia imerekebishwa hapa.

Tetesi zinasema CUF inaelekea kumegeka na kuwa kundi kubwa la Hamad ni bara na Unguja huku CUF ya Pemba inamuunga mkono Seif.

Hamad anaweza kuanzisha Chama chake ilaTetesi zinasema pia kuwa anataka kuunga mkono chama kimojawapo chenye nguvu Tanganyika

Je ni kweli akijiunga na chama chenye nguvu Tanganyika atafanikiwa?

Je akianzisha Chama chake atafanikiwa?

Nini maoni yako?

Je unamfahamu Hamad Rashid? au unarukia pasi na kumjua vyema hamad Rashid.

Kwa kukudondolea kidogo tu. Huyu si mtu wa kujichanganya na watu japo binafsi ana akili sana kiutendaji na ndio maana wanaomfahamu sio tu unguja na pemba bali mpaka hata Bara hajawa maarufu wa kuweza kuanzisha chama au hata kupewa nafasi ya juu ya kisiasa.

Huo ni ufupi tu.

 
Je unamfahamu Hamad Rashid? au unarukia pasi na kumjua vyema hamad Rashid.

Kwa kukudondolea kidogo tu. Huyu si mtu wa kujichanganya na watu japo binafsi ana akili sana kiutendaji na ndio maana wanaomfahamu sio tu unguja na pemba bali mpaka hata Bara hajawa maarufu wa kuweza kuanzisha chama au hata kupewa nafasi ya juu ya kisiasa.

Huo ni ufupi tu.

Barubaru,

Itakuwa Too late kufuta kauli yako huyu bwana akianzisha chama chake.
Je umeskia tamko la CUF Dar?
Je Umeskia Tamko la CUF Mwanza?
Think
 
Barubaru,

Itakuwa Too late kufuta kauli yako huyu bwana akianzisha chama chake.
Je umeskia tamko la CUF Dar?
Je Umeskia Tamko la CUF Mwanza?
Think


Spencer,

Ukweli unabaki pale pale. Siasa ni ya wana siasa na si vinginevyo. nakwambia tena sio kwa kubahatisha bali kwa kumjua chini juu juu chini na nimefanya nae kazi sana Mh Hamad rashid.

Ni mtu mwenye akili sana na mtaratibu sana lakini sio mtu wa kujichanganya na watu kama wanavyotakiwa kuwa wana siasa. vile vile kumbuka Mwanza hakuna CUF ni kikund kidogo sana labda pale mjini lakini sio mwanza nzima. Dar sina uhakika kwani hata makao makuu ya CUF yapo Dar pale Buguruni kituo cha basi. Sasa unamaanisha CUF makao makuu bara pia wametoa tamko.

Ok all in all, tusiandikie mate na wino upo. Tuvite subra na kuomba Mola atupe uzime tuone Mbio zake hamad Rashid na wenzake.

Kwani hayo siyo ya kwanza kutokea kwake. Kuna akina Bi Naila Majid Jidawi na akina Fatma magimbi yamewakuta na sasa wapo wapi?

Tuvute subra tuone.


 
Natamani nisikie na CHADEMA, mmoja atangaze kumng'oa Mbowe au Slaa ili tuone hawa wanaojiita wanademocrasia kama wamekomaa au wanatuzuga tu

Kuwang'oa hao labda uongeze share zako ndani ya Chadema.

Muulize Zitto atakwambia pale alipojaribu.

 
Kitu ambacho wengi wetu wanashindwa kuelewa ni kuwa, system ipo kazini kuhakikisha kuwa CUF hawapati majority ya kura za Zanzibar 2015. Seif na Hamad wote wapo kwenye system na hii ni assignment yao ya sasa. Divide and Rule.
Mdau inaonekana unayajua mengi sana kuhusu hili sakata,hebu mwaga mchele utuamshe nasisi tuliopo usingizini!Kumbe kuna system ya magamba ndani yake?halafu kweli maana hawa jamaa wote Maalim na Hamad wametokea magamba!!
 
HR ndo amekwisha. CUF itabaki na itaendelea na harakati za kisiasa. kwa wenye akili timamu na kumbukumbu za kutosha wanajua kwamba kwa Tz CUF ndo chama pekee ambacho kimekumbana na mikiki mikiki mikubwa bila kutetereka huku kikiendelea na MISIMAMO YA KULINDA SERA NA KATIBA YA CHAMA bila kujali UWEZETU au UVETERANI. Ni somo tosha kwa wasiopenda kuwajibika au kutumia sheria zilizopo kuwajibishana. Gamba limeshinda kuvuliwa kwa hofu ya kugawa chama - hakuna kitu kama hio ndani ya CUF-Sharia ni msumeno. Leo HR na wenzake watasema mengi but now they are out of the system. Msumeno umekereza nguzo walioegemea imekatika wemeanguka na hawatoinuka kisiasa. Kuna Inspector Mmoja aliwahi kuonesha aina zote za silaha (za kienyeji) ili kuipakazia CUF ila yuko wapi sasa. Kuna kiongozi Mmoja alikua akiwakebehi, kuwaadhibu na kuwadhalilisha CUF na viongozi wao yuko wapi sasa? Kidombooooooo hata macho hayana nuru! Yuko wapi yule kijana alieisaliti CUF Mkunazini na kuhamia CCM kama mpiga uongo-propaganda? karejeshwa ZNZ kwa kigari sasa anatembea kwa mkongojo! CUF imesimama kwa misingi imara na kitadumu. Sheria ni Msumeno. Seif anasimamia sheria za Chama. Ana udhaifu kama binadamu wengine ila hao kina HR wanashindwa kuleta ushahidi wowote wa kukiuka au kuvunja taratibu za Chama kama Seif (kama amewahiufanya hivyo ni kupitia vikao vya chama na hapo inakua sio maamuzi yake bali ni maamuzi ya Chama). HR and allies watafute biashara wafanye wameshindwa kuonesha uvumilivu wa kisiasa walitaka kwa nguvu ila wamepiga ngumi ukuta...
 
Natamani nisikie na CHADEMA, mmoja atangaze kumng'oa Mbowe au Slaa ili tuone hawa wanaojiita wanademocrasia kama wamekomaa au wanatuzuga tu

Demokrasia ni pamoja na staha - what if Kafulila na HR wangesubiri muda muafaka wakajenga hoja? Leo hii akiibuka Pinda akasema anataka kumtoa JK itakuwaje?

sometimes nachoka
 
Naona mnamdanganya jamaa yenu kwamba anao wafuasi wengi Tanganyika. Pengine kama wapo huko Kilwa,Lindi Mjini na Tandahimba! CUF huku Tanganyika imekufa miaka 2 iliyopita.
 
hr ndo amekwisha. Cuf itabaki na itaendelea na harakati za kisiasa. Kwa wenye akili timamu na kumbukumbu za kutosha wanajua kwamba kwa tz cuf ndo chama pekee ambacho kimekumbana na mikiki mikiki mikubwa bila kutetereka huku kikiendelea na misimamo ya kulinda sera na katiba ya chama bila kujali uwezetu au uveterani. Ni somo tosha kwa wasiopenda kuwajibika au kutumia sheria zilizopo kuwajibishana. Gamba limeshinda kuvuliwa kwa hofu ya kugawa chama - hakuna kitu kama hio ndani ya cuf-sharia ni msumeno. Leo hr na wenzake watasema mengi but now they are out of the system. Msumeno umekereza nguzo walioegemea imekatika wemeanguka na hawatoinuka kisiasa. Kuna inspector mmoja aliwahi kuonesha aina zote za silaha (za kienyeji) ili kuipakazia cuf ila yuko wapi sasa. Kuna kiongozi mmoja alikua akiwakebehi, kuwaadhibu na kuwadhalilisha cuf na viongozi wao yuko wapi sasa? Kidombooooooo hata macho hayana nuru! Yuko wapi yule kijana alieisaliti cuf mkunazini na kuhamia ccm kama mpiga uongo-propaganda? Karejeshwa znz kwa kigari sasa anatembea kwa mkongojo! Cuf imesimama kwa misingi imara na kitadumu. Sheria ni msumeno. Seif anasimamia sheria za chama. Ana udhaifu kama binadamu wengine ila hao kina hr wanashindwa kuleta ushahidi wowote wa kukiuka au kuvunja taratibu za chama kama seif (kama amewahiufanya hivyo ni kupitia vikao vya chama na hapo inakua sio maamuzi yake bali ni maamuzi ya chama). Hr and allies watafute biashara wafanye wameshindwa kuonesha uvumilivu wa kisiasa walitaka kwa nguvu ila wamepiga ngumi ukuta...

ina maana, salmin kipofu na msabaha kiwete!
 
Hali imezidi kuwa Tete ndani ya CUF, wajumbe vikao vya juu nao waachia ngapi!!!!
Yarab ya toba
 
Je unamfahamu Hamad Rashid? au unarukia pasi na kumjua vyema hamad Rashid.

Kwa kukudondolea kidogo tu. Huyu si mtu wa kujichanganya na watu japo binafsi ana akili sana kiutendaji na ndio maana wanaomfahamu sio tu unguja na pemba bali mpaka hata Bara hajawa maarufu wa kuweza kuanzisha chama au hata kupewa nafasi ya juu ya kisiasa.

Huo ni ufupi tu.


Barubaru,
Inaeleweka wazi washabiki wa Maalim Seif siku zote mpo mstari wa mbele kumpaka matope Hamadi Rashidi lakini ni ukweli usiopingika HR anaouwezo wa kuongoza chama; sioni tofauti ya kiuwezo kati yake na viongozi wengine wa vyama kama Mh. Kikwete na Mbowe; lazima ukumbuke mwenyekiti pekee haongozi chama, hata kupingana kwake na Maalim si kama inavyonadiwa eti ana uchu wa madaraka; HR inapigania kurudisha hadhi ya CUF kama chama cha upinzani; hivi kwa usomi wako unaweza kusimama hadharani kukinadi CUF kama chama cha upinzani? Wapemba wengi wamefungwa macho na masikio kuhusu Maalim lakini ipo siku historia itawasuta; Maalim amewasaliti wapemba kwa uchu wa madaraka na matokeo yake ni hayo tunayoyaona. Unaposema hajichanganyi na watu inaelekea pamoja na kufanya naye kazi humfahamu vizuri kwa ufupi tu HR anakubalika ndio maana Wawi walimchagua.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
hivi hamad rashid ameisaidia nini tanzania kama kiongozi,.
Mimi nimesikia Askari polisi walivyomsifia kwa kutetea maslahi Yao na umahiri wake katika bunge pamoja na kuwaombea na kufanikisha msaada Ujenzi wa nyumba za Kilwa rd,jeshi la magereza kujitosheleza kwa chakula,kutekeleza magereza kujua Shida za wafungwa,hadi kushauri waanzeshe miradi I takao wapa kipato wamalizapo kifungo.pia nilisikia alivyo kuomba kim il sung na kusaidia mradi mkubwa wa uwanja wa Michezo gombani,nyumba za polisi raha wete .haya Ni machache tu,lakini tujuilize mwalimu kwanini alimpenda na kumuamini sana HAMAD.nafikiri Ni uzalendo wake. Ya karibuni Ni umahiri wake alivyoweza kuiunganisha kambi ya upinzani bungeni, jambo ambalo Mbowe hajaweza.
 
Barubaru Upo?
jamaa ndiyo hivyo tena anaandaa katiba ya chama kipya
 
We Mbabaishaji na hata hizo tetesi zako utakuwa umezianzisha mwenyewe, HR yupo very clear, amesema yeye haamii katika chama chochote isipokuwa yeye anapofukuzwa katika chama anaanzisha chama, alifukuzwa CCM pamoja na Seif wakaanzisha CUF, akifukuzwa CUF anaanzisha chama haamii kwenye chama kingine.
 
HR alishaweka wazi, yeye haamii chama kingine anaanzisha chama, alifukuzwa CCM wakaanzisha CUF na maalim seif
 
HR, Seif na Mrema walipewa kazi maalum wakati wa vuguvugu la vyama vingi miaka ya tisini. Hao watu wote walikuwa ni viongozi waandamizi wakati wa chama kimoja. Kazi yao kubwa ni kudhoofisha upinzani wa kweli unapomaterialize. Ogopa sana hao watu kazi bado hawajamaliza. Katika sifa kubwa atakajivunia JK akimaliza madaraka ni kufanikiwa kuimega CUF visiwani, Mkapa alijaribu kuanzisha chama cha SAFINA, mwitikio wa watu ulikuwa mdogo. Safari hii mambo yanakwenda sawa. Yetu macho
 
Back
Top Bottom