Haloteli hana Mpinzani hapa Tanzania mimi na wewe Daima

Shida ya voda vifurushi vipo ghari sana. 2500 kwa tigo napata GB 2.5 na dk kibao mpaka za mitandao yote. Halotel 1000 napata GB 10 kwa usiku. Voda kwa 1500 unapata kama 2.5 kwa usiku.
Mimi voda nishaacha kuitumia natumia Tigo na Halotel
1000=10GB kwa siku? Ttcl?
 
Ila naomba kufaham wazee wa kutuibia Bando za mitandao husika kwa mwaka or kwa Link ambayo naweza kupata MB za kutosha kwa mwezi na Bei nafuu tafadhali ndgu zangu, kuja kwa PM
 
Ila naomba kufaham wazee wa kutuibia Bando za mitandao husika kwa mwaka or kwa Link ambayo naweza kupata MB za kutosha kwa mwezi na Bei nafuu tafadhali ndgu zangu, kuja kwa PM
Mkuu kuwa makini usitapeliwe uje kusema Jf matapeli
 
Acheni kuifananisha Halotel na vitu vya kipuuzi..Halotel ni namba moja kwa nchi hii..
 
Halotel wako poa upande wa vifurushi vyao hasa kifurushi cha Royal bando kwa elf10 unapata internet mwezi mzim bila kikomo na dakika 200 au 120 mitandao yote ila network yao majanga harafu kwann hawataki kuketa 4G?? Naamini wakileta 4g network itakaa poa kwa wenye cm za 4g pia.
 
Halotel wako poa upande wa vifurushi vyao hasa kifurushi cha Royal bando kwa elf10 unapata internet mwezi mzim bila kikomo na dakika 200 au 120 mitandao yote ila network yao majanga harafu kwann hawataki kuketa 4G?? Naamini wakileta 4g network itakaa poa kwa wenye cm za 4g pia.
mbona mimi natumia halotel jamani na iko vizuri tu katika intaneti.
 
Hili bando ni mkomboz sana kwangu aisee maana naperuzi youtu.be na kwingineko bila kujali kuishiwa. Mb kwa mwezi mzima kwa gharama ya 10k tu
Royal bando ya Tsh 10,000 unatumia data bila kikomo, yaani intaneti siku 30 bila kikomo.


Nauza modem ya halotel 15000
 
Ni
Hili bando ni mkomboz sana kwangu aisee maana naperuzi youtu.be na kwingineko bila kujali kuishiwa. Mb kwa mwezi mzima kwa gharama ya 10k tu
Hivi ni bila kikomo kweli?
Mbona wanaandika gb 0.5 na 1.5gb bonus?!
 
Back
Top Bottom