Rdj Shibo Member Jan 5, 2018 71 40 Jan 19, 2018 #1 Gafra modem yangu haisomi laini/simcard Kwann naomba msaada ili niendelee na kazi zangu Wanandugu
jiwelampaka Senior Member Jul 8, 2017 101 46 Jan 19, 2018 #2 Ila hawa jamaa walichokifanya kweny lain ya chuo mungu atawalipa yaan kutoka gb10.500 mpk gb 6 aisee
martinezmarty JF-Expert Member Apr 17, 2017 316 506 Jan 19, 2018 #4 Itasoma tuu mkuu, leo kina mda hata network kwenye line za cm ilikua haisomi