mikumiyetu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 1,312
- 947
Habari wadau ivi halotel wamezindua huduma ya 4g
Huyu yuko kibaigwa huko speed ya muda huu kama inavyoonekanaHalotel’s 2019 shopping list includes 500 fourth generation towers
THIS year’s target for Halotel Tanzania Limited includes installation of 500 fourth generation (4G) communications towers plus another 200 3G particularly targeting rural areas.www.ippmedia.com
Hio source inasema Wana hotspot za 4G mfano moja IPO Ngorongoro, wadau wa huko watuletee screenshot za speedtest
Hii Ni kawaida 3G yaoHuyu yuko kibaigwa huko speed ya muda huu kama inavyoonekanaView attachment 1198425
Duh this is really goodHuyu yuko kibaigwa huko speed ya muda huu kama inavyoonekanaView attachment 1198425
Good guy what is really good ?Duh this is really good
The speedGood guy what is really good ?
Naona ipanda nakushukaHii Ni kawaida 3G yao
Speed ipoje huko ulipoNaona Kimeo changu kimeweka 4GView attachment 1198511
Hii Sasa Ni 4G mkuu, sema still disappointed na ping.Naona ipanda nakushuka View attachment 1198518
Speed ni kawaida tu bt nipo lindi vijijini huku.Speed ipoje huko ulipo
Mkuu vipi upo mchinga kinyope madangwa ruhokwe mtama nyangao au wapi?Speed ni kawaida tu bt nipo lindi vijijini huku.
daah Nachunyu, MkopweMkuu vipi upo mchinga kinyope madangwa ruhokwe mtama nyangao au wapi?
Jana nimeongea na watu wa Halotel wamesema kweli huduma hii imeanzishwa unatakiwa kuswap line yako ya sasa kuipata.Ila sio wilaya zote zimeshapata hii huduma.Nitaleta mrejesho jumatatu nikiswap lain yangu.Hii Sasa Ni 4G mkuu, sema still disappointed na ping.
Line umepata wapi mkuu?
Pia download network signal guru ama app yoyote ya kuangalia frequency tujue wanatumia frequency gani
OK tunakusubiri kwa hamu kubwa tutakukumbushaJana nimeongea na watu wa Halotel wamesema kweli huduma hii imeanzishwa unatakiwa kuswap line yako ya sasa kuipata.Ila sio wilaya zote zimeshapata hii huduma.Nitaleta mrejesho jumatatu nikiswap lain yangu.
Hallo mkuu hiyo ya mtandao gani mbona safi sana.Huyu yuko kibaigwa huko speed ya muda huu kama inavyoonekanaView attachment 1198425