Hawa wa Vietnam's walikuja na internet nzuri ila wana wivubsa kike sasa hivi ukiweka MB 600 dakika mbili hazipiti hata kama hupakuwi vitu mtandaoni (Mmekwisha kuanza siasa na nyie)?
mbwa huyu, yeye mlinzi wa mnara anajifanya mfanyakazi wa halotel. hawezi kujibu maswali, amekimbia huyu nyau. halotel siwapendi mb zao zinakwisha kama upepo.
wanaolalamika uslow wa halotel sijui watakuwa maeneo gani kwa shughuli niazotumia kwenye internet kwakupitia halotel wakifunga mtandao wao ujuwe nafunga offic
Kweli mkuu! Maana internet yao iko speed ile mbaya,na bando huwa halikai,line ya tigo nimeiweka banch,kwani hii ndo ipo slow sana kwenye internet hadi inaboa.
Hawa wa Vietnam's walikuja na internet nzuri ila wana wivu wa kike sasa hivi ukiweka MB 600 dakika mbili hazipiti hata kama hupakuwi vitu mtandaoni (Mmekwisha kuanza siasa na nyie)?
mbwa huyu, yeye mlinzi wa mnara anajifanya mfanyakazi wa halotel. hawezi kujibu maswali, amekimbia huyu nyau. halotel siwapendi mb zao zinakwisha kama upepo.