lipingangogolo
Senior Member
- Dec 28, 2016
- 119
- 70
Yaani utadhani unachota Maji Kwa kutumia tenga la nyanya hovyo sana hawa jamaa HalotwawalatelHawa wa Vietnam's walikuja na internet nzuri ila wana wivubsa kike sasa hivi ukiweka MB 600 dakika mbili hazipiti hata kama hupakuwi vitu mtandaoni (Mmekwisha kuanza siasa na nyie)?