Halotel mmeanza kuwa watu wa hovyo hovyo?

Mm mwenyewe nawashangaa siku hizi pamoja nakuwa niko chini ya mnara wao lkn inasusua tofauti na mwanzo..

Ila bado sijafikiria mtandao mwingine zaidi ya huu
 
Nadhani malaika ameshuka na anazima taratibu mitandao ya kijamii ,na mimi naamini bila bando hakuna social media
 
Hio hapo juu ni namba yangu nami ni maskini wa kawaida. Pengine mmeniweka kwenye listi ya kina Mengi ambao mkiwaibia hawaongei kwa sababu huenda hawalijui hilo. Mimi ni mchaga mchumi mchungu ambae hata shing mia ikipotea nitajilaumu sana.

Sasa ninapoweka bando mnalinywa kama maji ya sayona alafu nikiwapigia mnaniambia line ya chuo nashindwa kuwaelewa

Tangu jana naona mapicha picha nisiyoyaelewa kutoka kwenu. Sijawahi kutumia zaidi ya elfu moja kwenye internet ila tangu jana natumia zaidi ya 5000 naomba muitazame namba yangu tena.

Muitoe huko kwenye list ya matajiri muiweke kwenye listi ya wakopa vocha maarufu mitaani.

Niliondoka airtel kwa matarumbeta sasa naona aibu hata kujirudi
Maana naskia skuizi airtel hawabanduki ila huku kweni hii maskin tape yenu ishaloa tutahama mkiendeleza huu ujinga

Naona mode amepatwa na povu yangu sasa yamemshinda kaamua aiunganishe thread yangu huku
Kachukue na nilizopost fb pia badi uzilete humu
 
WATAUFYATA TU COZ WATU WATARUDI ZAO VODA AFU HALOTEL WATABAKI NA HIVYO VIDAKIKA WANAVYO LZIMISHA MNUNUAJI INTERNET AVITUMIE
We, mkia kwenda zako umetumwa. Voda inaload mpaka unamaliza kuoga haijafunguka. Usifananishe bomba na mto
 
We, mkia kwenda zako umetumwa. Voda inaload mpaka unamaliza kuoga haijafunguka. Usifananishe bomba na mto
utakua umejiunga juzi na haotel

miongoni kwa watu walio usifia mtandao huu nilikuwepo miongoni mwao fuatilia hilo

tunacho lalamikia sio speed bali ni kwanini watulazimishe kutumia dakika?(kitendo cha wao kuunganisha internet na dakika) kisha wapunguze MB?

AFU we 'Kisichana' JARIBU KUTUMIA LUGHA YA KISTAARABU HAPA SIO INSTAGRAM AU FACEBOOK JIHESHIMU.
 
utakua umejiunga juzi na haotel

miongoni kwa watu walio usifia mtandao huu nilikuwepo miongoni mwao fuatilia hilo

tunacho lalamikia sio speed bali ni kwanini watulazimishe kutumia dakika?(kitendo cha wao kuunganisha internet na dakika) kisha wapunguze MB?

AFU KIJANA JARIBU KUTUMIA LUGHA YA KISTAARABU HAPA SIO INSTAGRAM AU FACEBOOK JIHESHIMU.

Huyu kijana nahisi anafahamiana na soody brown
 
Hahahhh nikikumbuka mwanzo hallotel walivyokua wanasifiwa na sasa wanavyopondwa wajitahidi wabadilike
 
Back
Top Bottom