Awali alikua anawavuta tu ili mjae kwa wingiii... Na mmevutwa kwel yan,Jana nimenunua Bundle la Buku 1 GB Line ya chuo haikuchuka Hata lisaa bundle likakata Nilikuwa nimeunga na PC internet Hotspot nkahisi labda window ina update automatic, Leo asubuhi nimeweka tena elfu moja nkajiunga 1 GB matokeo yake Hata lisaa halijaisha natumiwa text huna MB za kuperuzi sijaunga Simu na Pc wala sijadownload Chochote zaidi ya kuperuzi Jf, Napiga customer care ile wanataka kuniconnect na muhudumu niongee nae inakata hapo, Facebook wamefunga wall yao Nawaza nitupe hii Laini
Mkuu unaota! Hebu nagalia tena hicho kifurushi......Hiyo line ya chuo nunua kifurushi cha elf kumi utapata 10GB
Siku hazilingani mkuu kesho na kesho kutwa utakuja hapa na ww na complaints zako hapa jukwaani kuhusu hawa hawa jamaa halotel, soon nmetoka kuvunja chip yao kwa huu upuuzi wao now niko na voda tu mpka sasa sijaona problem.Mbona mm kwangu ni murua tu

Watabaki kua The Best tyu bn!! We umeona wpy unapata night bundle 10 Gb kw buku jero tyu!!
Mkuu usiitupe hiyo line..nipe mimi kama hutojaliJana nimenunua Bundle la Buku 1 GB Line ya chuo haikuchuka Hata lisaa bundle likakata Nilikuwa nimeunga na PC internet Hotspot nkahisi labda window ina update automatic, Leo asubuhi nimeweka tena elfu moja nkajiunga 1 GB matokeo yake Hata lisaa halijaisha natumiwa text huna MB za kuperuzi sijaunga Simu na Pc wala sijadownload Chochote zaidi ya kuperuzi Jf, Napiga customer care ile wanataka kuniconnect na muhudumu niongee nae inakata hapo, Facebook wamefunga wall yao Nawaza nitupe hii Laini
Voda ndio siwataki hata kuwasikia. Nilijaribu mara moja tu kutumia internet ya voda kwa ku-stream mechi kwenye app ya mobdro, nilishangaa GB 2 zimeishia kwenye kipindi cha kwanza tu, wakati nikitumia laini yangu airtel huwa najiunga kifurushi cha GB 1 naangalia mpira dakika tisini na MB kama 600 zinabakia. Kwanzia hapo sijui laini ya voda niliitupia wapi maana sikuhitaji tena.mkuu kuna app ambazo huwa zinaconsume data kwenye background mfano nilishawahi kujiunga na GB1 ya voda ikaisha fasta kuja kucheki instagram pekee imekula zaidi ya MB400... chagua apps ambazo hutaki zitumie data then restict internet access
-airtel 10GB kwa 600Halotel Kwng n Mugacherere xnWatabaki kua The Best tyu bn!! We umeona wpy unapata night bundle 10 Gb kw buku jero tyu!!
Chief nasikia hicho kifurushi cha 10GB cha TTCL kinasumbua kujiunga. Ni kweli?!-airtel 10GB kwa 600
-TTCL 10GB kwa 1000 (tena 4G)
mimi hakijawahi kunisumbua sijui wengine.Chief nasikia hicho kifurushi cha 10GB cha TTCL kinasumbua kujiunga. Ni kweli?!