Halotel sasa wamekuwa majiziNimejiunga boss na wamethibitisha kwa sms
Mi nilishatupa dust bin cku mingiNimetoa chip yao Kwanza wacha niipe likizo
Jana nimenunua Bundle la Buku 1 GB Line ya chuo haikuchuka Hata lisaa bundle likakata Nilikuwa nimeunga na PC internet Hotspot nkahisi labda window ina update automatic, Leo asubuhi nimeweka tena elfu moja nkajiunga 1 GB matokeo yake Hata lisaa halijaisha natumiwa text huna MB za kuperuzi sijaunga Simu na Pc wala sijadownload Chochote zaidi ya kuperuzi Jf, Napiga customer care ile wanataka kuniconnect na muhudumu niongee nae inakata hapo, Facebook wamefunga wall yao Nawaza nitupe hii Laini
watu wametumwa tu kuaribiana soko mbona wengine tunatumia fresh tu na mb zinaenda fresh tuu.Mbona mm kwangu ni murua tu
watu wengine hujuma tu ndugu..ila jamaa wapo vzr tuSio kwel we unatumia vibaya halotel wapo vzr sana
wanahujumu uchumi amuwaoni wanakula hadi rambirambi huko jamanHii kampuni imebainika ikihujumu uchumi wa nchi