Halotel Kulikoni Jamani!

Mbona washashusha vifurushi sasa hivi 500 bundle ni Mb 350 zingine 200 eti za usiku halafu hazionekani.
 
Utakuwa una App inayokula data, kama Android yako ni modern kidogo chni ya settings-> data usage unaweza kuona App gani inatumia mtandao.
 
Ila mkoani wapo vzuri sana asee, wapunguze tu janjajanja wafanye kazi.
 
Jana nimenunua Bundle la Buku 1 GB Line ya chuo haikuchuka Hata lisaa bundle likakata Nilikuwa nimeunga na PC internet Hotspot nkahisi labda window ina update automatic, Leo asubuhi nimeweka tena elfu moja nkajiunga 1 GB matokeo yake Hata lisaa halijaisha natumiwa text huna MB za kuperuzi sijaunga Simu na Pc wala sijadownload Chochote zaidi ya kuperuzi Jf, Napiga customer care ile wanataka kuniconnect na muhudumu niongee nae inakata hapo, Facebook wamefunga wall yao Nawaza nitupe hii Laini

Nisemu tu kwamba mitandao yote ya simu ni mabazazi
 
ila kweli MB za halotel zinakwusha fasta kuliko kawaida
Shunie ebu njoo unambie kama ba wewe hazimwishi fasta
 
Hawa jamaa mimi niliweka laini yao pembeni mapema, baada ya kuona walichonihaidi sikipati..Bora hawa wa sikuzote kuli halotel ni ujanjaujanja
 
WINDOW 8 NA 10 hata uki-disable update bado haitaacha kufanya hivyo, angalia status ndio utapata jibu
jf.JPG
 
Back
Top Bottom