Tuttyfruity
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 2,405
- 6,281
Hivi hawa wachina wanashida gani. Kwanini mnatutesa wateja wenu? Hivi kweli mnashindwa kutoa angalau dakika 5 za mitandao yote pindi mteja wenu anapojiunga vifurushi vyenu?
Yaani mnatoa dakika 50 Halotel - Halotel wakati mnajua watumiaji wa Halotel tunahesabika. Acheni hizo mnaboa kinoma.
Hongera! Umepokea dk 50 (Halotel)+ SMS 500 + MB 500 hadi 12:48 12/11/2019. Asante!
Hongera! Umepokea dk 100 (Halotel)+ SMS 500 + MB 1024 hadi 19:02 17/11/2019. Asante!
Yaani mnatoa dakika 50 Halotel - Halotel wakati mnajua watumiaji wa Halotel tunahesabika. Acheni hizo mnaboa kinoma.
Hongera! Umepokea dk 50 (Halotel)+ SMS 500 + MB 500 hadi 12:48 12/11/2019. Asante!
Hongera! Umepokea dk 100 (Halotel)+ SMS 500 + MB 1024 hadi 19:02 17/11/2019. Asante!