Amoxlin
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 3,784
- 4,089
Amani kwetu wana Jf.
Leo natumia nafasi hii kuupongeza uongozi mzima wa kampuni ya mawasiliano ya halotel kwa ubunifu wao mkubwa.
Kwa sasa kila unapojiunga na kifurushi chochote cha halotel na muda ukaisha bila kukimaliza basi utakapojiunga tena utajumlishiwa na kile ulichobakiza bila kumaliza ktk kifurushi kilichopita.
Pia gharama ya vifurushi vyao ni nzuri mfano. Tsh.1500 dk 100 mitandao yote wiki. Tsh.1000 dk 50 mitandao yote wiki. Tsh.1000 sms 5000 mwezi nk...
Kwa hili nitaendelea kuwa mteja wenu.
Leo natumia nafasi hii kuupongeza uongozi mzima wa kampuni ya mawasiliano ya halotel kwa ubunifu wao mkubwa.
Kwa sasa kila unapojiunga na kifurushi chochote cha halotel na muda ukaisha bila kukimaliza basi utakapojiunga tena utajumlishiwa na kile ulichobakiza bila kumaliza ktk kifurushi kilichopita.
Pia gharama ya vifurushi vyao ni nzuri mfano. Tsh.1500 dk 100 mitandao yote wiki. Tsh.1000 dk 50 mitandao yote wiki. Tsh.1000 sms 5000 mwezi nk...
Kwa hili nitaendelea kuwa mteja wenu.