Maendeleo hayana Chama,Kuna wizi mpya haloteli wamekuja nao.Wanakata sh 50 mpaka sh 100 kila unapoweka vocha, halafu ukipiga huduma kwa wateja hawapokei simu au wanakublock. TCRA wapo lakini wizi unafanyika.
HALOTEL ACHENI WIZI
Mitano tenaaaaaa,tunatekelezaaaaaaa.Hivi haya makato ukiweka vocha kwenye mitandao huwa yanatokana na nini hasa.
Maana ni wengi wanamalalamiko haya.
Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
au nasema uongo ndugu zanguMitano tenaaaaaa,tunatekelezaaaaaaa.
Nimekuwa mteja wa halotel kwa muda mrefu, leo nimeamua kuachana nao. Majibu kwa nini ukipiga halotel unakatwa dakika za mitandao yote yameniacha mdomo wazi. Ni tatizo la miezi sasa, lakini simply wanasema wanalishughulikia.Kuna wizi mpya haloteli wamekuja nao.Wanakata sh 50 mpaka sh 100 kila unapoweka vocha, halafu ukipiga huduma kwa wateja hawapokei simu au wanakublock. TCRA wapo lakini wizi unafanyika.
HALOTEL ACHENI WIZI